Ipi sahihi sasa, mbona sahihi hazifanani ama ni macho yangu.

TUMY

JF-Expert Member
Apr 22, 2009
705
93
SAINI_YA_YONDAN_YANGA.jpg
Saini ya Yondani na dole gumba kwenye fomu za Yanga.
SAINI_YA_YONDAN_SIMBA.jpg
Saini ya Yondani na dole gumba kwenye fomu za Simba.
 
kwa wataalamu wa maandishi, hizo saini zinafanana....kutofautiana kidogo tu hivyo ni tatizo la kawaida kabisa kwenye utiaji saini..hata wewe mwenyewe mara nyingi huwa unapata tatizo kama hilo...kuhusu thumb print, hilo hadi mashine ndo itagundua, wewe huwezi gundua,...cha muhimu mistari ionekane inafanana, kwasababu huwa hakuna kufanana katika hilo, hata kama hapo inaonekana kama tofauti, kwenye machine itaenda moja kwa moja kugundua...sijaona tatizo lako liko wapi hapa.
 
kwa wataalamu wa maandishi, hizo saini zinafanana....kutofautiana kidogo tu hivyo ni tatizo la kawaida kabisa kwenye utiaji saini..hata wewe mwenyewe mara nyingi huwa unapata tatizo kama hilo...kuhusu thumb print, hilo hadi mashine ndo itagundua, wewe huwezi gundua,...cha muhimu mistari ionekane inafanana, kwasababu huwa hakuna kufanana katika hilo, hata kama hapo inaonekana kama tofauti, kwenye machine itaenda moja kwa moja kugundua...sijaona tatizo lako liko wapi hapa.

Tofauti ni jambo la kawaida kaka ila tofauti ya hizo sahihi ni kubwa kama ni benki hulipwi kaka.
 
hiyo ya yanga ndiyo yake. hao wengine waseme wameitoa wapi.
 
kwa wataalamu wa maandishi, hizo saini zinafanana....kutofautiana kidogo tu hivyo ni tatizo la kawaida kabisa kwenye utiaji saini..hata wewe mwenyewe mara nyingi huwa unapata tatizo kama hilo...kuhusu thumb print, hilo hadi mashine ndo itagundua, wewe huwezi gundua,...cha muhimu mistari ionekane inafanana, kwasababu huwa hakuna kufanana katika hilo, hata kama hapo inaonekana kama tofauti, kwenye machine itaenda moja kwa moja kugundua...sijaona tatizo lako liko wapi hapa.

Apendae chongo huita kengeza!!
 
hiyo ya yanga ndiyo yake. hao wengine waseme wameitoa wapi.

achaujinga unajuaje kama ya yanga ndiyo sahihi, Rage ni kiboko yenu..umeyaona majina ya kelvin Patrick Yondani iliyoandikwa yanga unajua kajaza form amezaliwa mwaka gani...yanga mmeliwa
 
hiyo ya yanga ndiyo yake. hao wengine waseme wameitoa wapi.

Inawezekana unachosema ni sahihi ila hatuna uhakika kaka kuna watu wanakesi ya kujibu hapo kama si vilabu basi ni mchezaji mwenyewe.
 
FULL UFISADI! Bora nikatizame mipira ya mchangani. Mchezaji unampatia Kilo ya mchele tu anachora karatasi mchezo umeisha.
 
Wee angalia hata handwriting yake kwenye Form zote 2 ndo utajua kuna uhalali wa sahihi kutofautiana katika Form hizo,mwacheni aje Jangwani na Twiga anufaike na mipango endelevu ya uongozi mpya wa Yanga,kwanza tutampeleka QT(Elimu ya O-Level kwa miaka mi'2) kwahiyo hata akitaka ku'sign team 2 tena baada ya huu mkataba wake kumalizika Signatures zake hazitatofautiana tena kwani atakuwa ameshajua kuumba herufi vizuri.
 
Wee angalia hata handwriting yake kwenye Form zote 2 ndo utajua kuna uhalali wa sahihi kutofautiana katika Form hizo,mwacheni aje Jangwani na Twiga anufaike na mipango endelevu ya uongozi mpya wa Yanga,kwanza tutampeleka QT(Elimu ya O-Level kwa miaka mi'2) kwahiyo hata akitaka ku'sign team 2 tena baada ya huu mkataba wake kumalizika Signatures zake hazitatofautiana tena kwani atakuwa ameshajua kuumba herufi vizuri.
Aje mara ngapi?mbona kishapewa chumba pale pentagon na leo asubuhi nimemkuta demu wake anamfanyia usafi.
 
Hilo gumba kwa upande wa simba ni la Rage.....alafu mbona linafann kama mti hv
 
Sisi watu wa Simba tulishaweka wazi kwamba hatumng'ang'ania Kelvin lakini tunachotaka lazima taratibu zifuatwe, walishaondoka wachezaji wa muhimu kabisa tena kati kati ya msimu lakini badi Simba haikutetereka, na si kawaida ya Simba kubania wachezaji tulishamruhusu Mrwanda, Boban na Henry Joseph na hawa ilikuwa wakati wa ligi.

Inajulikana Yanga mnapenda sana kutofuata taratibu, tukianza na Mwameja mlimsajili bila utaratibu lakini alibaki Simba, mkasajili Victor bila utaratibu wote tunajua alibaki Simba, mkaja kwa Chuji alikaa muda mrefu bila kucheza sasa mmefanya tena kwa Yondani, ngoja tusubiri tuone mambo yataendaje.
 
Sisi watu wa Simba tulishaweka wazi kwamba hatumng'ang'ania Kelvin lakini tunachotaka lazima taratibu zifuatwe, walishaondoka wachezaji wa muhimu kabisa tena kati kati ya msimu lakini badi Simba haikutetereka, na si kawaida ya Simba kubania wachezaji tulishamruhusu Mrwanda, Boban na Henry Joseph na hawa ilikuwa wakati wa ligi.

Inajulikana Yanga mnapenda sana kutofuata taratibu, tukianza na Mwameja mlimsajili bila utaratibu lakini alibaki Simba, mkasajili Victor bila utaratibu wote tunajua alibaki Simba, mkaja kwa Chuji alikaa muda mrefu bila kucheza sasa mmefanya tena kwa Yondani, ngoja tusubiri tuone mambo yataendaje.

Nyani haoni kundule, mbonaHata Nyie mlimsajiri K.mkapa bila utaratib ingawa mlichemsha.Alafu ni sie tulie waachiaga kisiki Amir maftah katikati ya msimu...
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom