Ipi pikipiki imara na madhubuti kati ya Boxer 150 na TVS HLX 150?

TVS HLX 150 ni ngumu sana huwezi zikuta zimeharibika kiurahisi, usipojali bei ghali ya spea zake basi mostly ni genuine!!...
Na umesema ni kwa matumizi yako binafsi basi chukua TVS HLX 125 inaenda Km 65-70 kwa lita moja fikiria umesave kiasi gani!!!!...
Mkuu nimekupa like 100,imeomhea true,unajua na Mimi nilikuwa nampango waa kuwa na bike ambayo na affordable ,naingia job SAA kumi jion natoka SAA saba Usk,naweza muichukua some time nafanyia kazi
 
125 or 150?, halafu service ya kawaida gharama ni sawa kwa vyombo vyote tu mkuu!.
• Oil (20w50 yoyote)- elfu 7-8 depends na soko lenu.
• fundi 3,000 to 5,000 kwa service ya oil depends na unapoenda pia!.
Kama vifaa minor basi:
•Spark Plug ya TVS original ni elfu 8-10 depends na muuzaji wako na zinaingiliana Tvs king na ya Tvs hlx.
Ukiwa mtunzaji service kubwa baada ya mwaka 1 or ukiwa sio rafu basi hata miaka 2-3 kuanza gusa service kubwa. We zingatia tu service kila baada ya wiki 1 au wiki 2 chombo yako na tumia oil namba 20w50 mafundi wengi wanaweka 20w40 ambayo sio nzuri kwa uhai wa chombo.
Vingine nitakuwa nawapigia promi sasa, ila we jua hakuna pikipiki bora zaidi ya TVS Tanzania hata Boxer hafui dafu kwao!..
Umenimaliza KBS mkuu safiiii
 
TVS HLX 150 ni ngumu sana huwezi zikuta zimeharibika kiurahisi, usipojali bei ghali ya spea zake basi mostly ni genuine!!...
Na umesema ni kwa matumizi yako binafsi basi chukua TVS HLX 125 inaenda Km 65-70 kwa lita moja fikiria umesave kiasi gani!!!!...
Ivi Boxer 150BM katika litre inakula kwa kilometers ngapi? Msaada apo
 
Mkuu nimekupa like 100,imeomhea true,unajua na Mimi nilikuwa nampango waa kuwa na bike ambayo na affordable ,naingia job SAA kumi jion natoka SAA saba Usk,naweza muichukua some time nafanyia kazi
chukua 125 hutaijutia..
 
Kumbe kwa TVs inakuwa bado sio affordable. Ivi zile boxer 125BM azizingui zile ktk sehemu zenye milima
150 ni engine kubwa mkuu so hata ulaji wake wa mafuta utakuwa tofauti!.. Ila hizo 150 sasa kwenye milima ndo utakuwa umezipatia maana zina nguvu kubwa kuipanda itakuwa easy zaidi tofauti na 125!..
Sasa hivi naifanyia research 150X kuiangalia uwezo wake!..
 
150 ni engine kubwa mkuu so hata ulaji wake wa mafuta utakuwa tofauti!.. Ila hizo 150 sasa kwenye milima ndo utakuwa umezipatia maana zina nguvu kubwa kuipanda itakuwa easy zaidi tofauti na 125!..
Sasa hivi naifanyia research 150X kuiangalia uwezo wake!..
Sema kwa mazingira ya Dar es salaam ni bora kuwa na Boxer 150BM. Maana zile ndio zipo sana sokoni, hata kuisukuma ni rahisi zaidi ya hii TVS hlx 125. Maaana, Nina tabia nikiona kitu kinanunuliwa sana, lazima kuna kitu mbele
 
Sema kwa mazingira ya Dar es salaam ni bora kuwa na Boxer 150BM. Maana zile ndio zipo sana sokoni, hata kuisukuma ni rahisi zaidi ya hii TVS hlx 125. Maaana, Nina tabia nikiona kitu kinanunuliwa sana, lazima kuna kitu mbele
Mkuu me nikupe tu kaassignment nenda Makumbusho, Sayansi, Tabata yote Ubungo na Mwenge yote angalia kuna aina gani ya pikipiki then uliza madereva wanapendelea ipi?..
 
Mwenyewe ukifika vigezo natoa mktaba mkuu!..Zinalipa yeah hela dsm ipo malengo tu!.
Wick nashkuru sana nilipita hapa nimeweka hela kidogo kwenye bii biashara nashkuru kwa msaada wako,kuna siku ulisema kuna kampuni inakusimamia chombo chako kama ukishindwa unaweza kunipa maelekezo mazuri zaidi
 
Wick nashkuru sana nilipita hapa nimeweka hela kidogo kwenye bii biashara nashkuru kwa msaada wako,kuna siku ulisema kuna kampuni inakusimamia chombo chako kama ukishindwa unaweza kunipa maelekezo mazuri zaidi
Shukrani mkuu, labda ungeniambia upo wapi wewe?..Sidhani kama wapo kote!.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom