Mm nipo Temeke Dsm lkn pikipiki zangu zimechawanyika mbande Goms Tandika mbagala nkShukrani mkuu, labda ungeniambia upo wapi wewe?..Sidhani kama wapo kote!.
Mm nipo Temeke Dsm lkn pikipiki zangu zimechawanyika mbande Goms Tandika mbagala nkShukrani mkuu, labda ungeniambia upo wapi wewe?..Sidhani kama wapo kote!.
TVS HLX 150 ziko vizuri ila mapungufu yake..ukiwa speed sana dashboard inapiga sana kelele..halafu inatabia ya kumisimisi..na kuna wakati baadhi ya gia dizain kama zinaruka.
Kwa mafuta..muhindi alituliza kichwa..hazili kabisa wese..unaweza tembea km 50 kwa Lita mojaUlaji wa mafuta ukoje kwa tvs 150
Pikipiki za muhindi naziheshimu kwenye kipengele cha mafutaKwa mafuta..muhindi alituliza kichwa..hazili kabisa wese..unaweza tembea km 50 kwa Lita moja
Watu wanafika nayo Mbeya ndio iwe hapo morogoro. Ukijiheshimu barabarani utaheshimiwa, ukijichizisha utachizishwaHufiki moro bila kugongwa ukafia njian naogopa sana bodaboda kwenda mwendo mrefu
Sent using Jamii Forums mobile app
navipi juu ya HONDA ACE 125??125 or 150?, halafu service ya kawaida gharama ni sawa kwa vyombo vyote tu mkuu!.
• Oil (20w50 yoyote)- elfu 7-8 depends na soko lenu.
• fundi 3,000 to 5,000 kwa service ya oil depends na unapoenda pia!.
Kama vifaa minor basi:
•Spark Plug ya TVS original ni elfu 8-10 depends na muuzaji wako na zinaingiliana Tvs king na ya Tvs hlx.
Ukiwa mtunzaji service kubwa baada ya mwaka 1 or ukiwa sio rafu basi hata miaka 2-3 kuanza gusa service kubwa. We zingatia tu service kila baada ya wiki 1 au wiki 2 chombo yako na tumia oil namba 20w50 mafundi wengi wanaweka 20w40 ambayo sio nzuri kwa uhai wa chombo.
Vingine nitakuwa nawapigia promi sasa, ila we jua hakuna pikipiki bora zaidi ya TVS Tanzania hata Boxer hafui dafu kwao!..
Mpaka sasa tvs 125 ndo mshindi wa mda wote akifatiwa na haojue mninga kwa wabeba mizigo mizitoBoxer BM150 ndo mpango.
India wanatumia most Mahindra, Yamaha, HondaI would vouch for TVS.
Hawa wahindi washenzi sana lakini. Hizi boker na hlx hawatumii nchini kwao, wanatuuzia Afrika tu.
Hizo mahindra zilikuja bongo soko likagomaIndia wanatumia most Mahindra, Yamaha, Honda