Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,184
- 4,537
Jifunzeni kufanya manunuzi mtandaoni mpate item nyingi na nzuri kwa bei resonable, kaka, mkubwa kama kweli uliuziwa bongo 7a laki tatu mpka nne na hamsini, unatka kuuambia umma wa jamii forum hilo duka simu kama redmi note 7 iliuzwa shingapi sio milion, tujifunze na window shopping kujua ata bei kabla ya kunua note 8 yenyewe haiuzwi 450 till now