Ipi njia rahisi kupokea fedha kutoka nje?

Duh kmbe bado kuna watu Wako nyuma na hawajui jnsi gni ya kupokea pesa kutoka nje?

Ova
 
Mtumie namba yako ya tigo pesa na jina lako kamili ndani ya dkk umepata pesa yako ila mpesa inachelewa kama imetumwa saa 10jioni mpk kesho mida kama hiyo au zaidi na ikitumwa ijumaa huipati pesa yk mpk jtatu tigo pesa wapo fasta
Kuna jamaa yangu mmoja yupo nje anataka kunitumia pesa. anauliza njia ipi nipokelee pesa?
Nkaona njia mbona zipo nyingi tu.. Kuna Xoom, Kuna Paypal, Western Union n.k
Nkaanza kufuatilia naona western union wana makato makubwa..
Imagine kwa dola 300 kiasi nnachoenda kuchukua ni 615,300 ikiwa thamani ya fedha ni 679,879 inamaana zaidi ya 57,000 zinapotea. wakati huo huo washamkata $7.0 kama gharama za kutuma hiyo pesa.

Je? Kuna namna nyingine?. Naombeni uzoefu
 
MoneyGram naona unapokea kiasi kamili. makato ya moneygram na western union naona yanalingana but western union wanakupa kiwango kidogo.

Kuna mdau mmoja kasema kutuma nje ni kama unanunua dollar ila kupokea utapa nyingi kwani unakuwa kama unauza dollar , japo sina clear understanding ya nini hasa alimaanisha mana mimi nilikuwa natuma Russia na huko hawatumii dollar kwani pesa zangu zote zilikuwa exchanged to tzs then zikatumwa huko
 
Mbona anaweza kukutumia direct mkuu, yaan inaingia kama tigo pesa ya kawaida tuu
 
Kuna mdau mmoja kasema kutuma nje ni kama unanunua dollar ila kupokea utapa nyingi kwani unakuwa kama unauza dollar , japo sina clear understanding ya nini hasa alimaanisha mana mimi nilikuwa natuma Russia na huko hawatumii dollar kwani pesa zangu zote zilikuwa exchanged to tzs then zikatumwa huko
Haijalishi. Kama unatuma Russia ina maana wakipokea fedha zako wanaangalia rate ya kubadilisha fedha ya kule vs shilingi yetu.
 
Kuna jamaa yangu mmoja yupo nje anataka kunitumia pesa. anauliza njia ipi nipokelee pesa?
Nkaona njia mbona zipo nyingi tu.. Kuna Xoom, Kuna Paypal, Western Union n.k
Nkaanza kufuatilia naona western union wana makato makubwa..
Imagine kwa dola 300 kiasi nnachoenda kuchukua ni 615,300 ikiwa thamani ya fedha ni 679,879 inamaana zaidi ya 57,000 zinapotea. wakati huo huo washamkata $7.0 kama gharama za kutuma hiyo pesa.

Je? Kuna namna nyingine?. Naombeni uzoefu
Kama anayekutumia yuko Marekani, atumie app inaitwa money wave na wewe lazima uwe na voda, kwani inaendana na mpesa tu.
 
Kuna service nmesahau jina ila inahusisha mpesa, kuna jamaa yangu amewahi pokea thru mpesa from canada
mpesa inatumika na inaingia direct kwenye simu yako wewe ni kwenda kutoa kwa wakala ni 0 second anakutumia inafika
 
Yupo nje wapi?!

Nje ya gari, nje ya nyumba, nje ya chumba, nje bafu nje wapi?!
Kuwa specific, njia za kutuma zipo nyingi but ni effective kulingana na wapi muhusika yupo
 
Kama anayekutumia yuko Marekani, atumie app inaitwa money wave na wewe lazima uwe na voda, kwani inaendana na mpesa tu.
Mkuu samahani,INA Maana Voda inapatikana hata Ukiwa Marekani?
Au ni Mtandao gani unapatikana ukiwa Marekani,Ulaya?
 
Mkuu samahani,INA Maana Voda inapatikana hata Ukiwa Marekani?
Au ni Mtandao gani unapatikana ukiwa Marekani,Ulaya?
Nilichoeleza ni kuwa, aliyeko Marekani(kama ndie anayetuma pesa Tz) awe na hiyo app money wave, aliyeko Tz (mpokea pesa) lazima awe anatumia voda (mpesa).
 
Back
Top Bottom