Ipi njia nzuri kupokea fedha toka nje ya nchi?

KingKacha

Senior Member
Jun 15, 2016
118
119
Kuna jamaa yangu mmoja yupo nje anataka kunitumia pesa. anauliza njia ipi nipokelee pesa?
Nkaona njia mbona zipo nyingi tu.. Kuna Xoom, Kuna Paypal, Western Union n.k
Nkaanza kufuatilia naona western union wana makato makubwa..
Imagine kwa dola 300 kiasi nnachoenda kuchukua ni 615,300 ikiwa thamani ya fedha ni 679,879 inamaana zaidi ya 57,000 zinapotea. wakati huo huo washamkata $7.0 kama gharama za kutuma hiyo pesa.

Je? Kuna namna nyingine?. Naombeni uzoefu
 
Westen union,ni gharama ila easy to take and available everyday and everywhere.
 
Kama yupo US au Europe mwambie atumie Wave.com utapata pesa in a minute kwenye Mpesa au Tigo Pesa.

Hii service ni bure. Hakuna makato

The company makes money kwakutumia tofauti ya exchange rates.

Their service is simply the BEST.

Im using the service myself for years now.
 
Kama yupo US au Europe mwambie atumie Wave.com utapata pesa in a minute kwenye Mpesa au Tigo Pesa.

Hii service ni bure. Hakuna makato

The company makes money kwakutumia tofauti ya exchange rates.

Their service is simply the BEST.

Im using the service myself for years now.
wana limit ya kiasi cha pesa??
 
Back
Top Bottom