aikamatemu
JF-Expert Member
- Jan 29, 2020
- 464
- 1,892
Sasa utatoka kwenye tumbo la mama yako ukiwa na IQ kubwa? au Elimu ndio inakupa IQ kubwa?Kusoma ndio kuwa na iq kubwa?
Sasa utatoka kwenye tumbo la mama yako ukiwa na IQ kubwa? au Elimu ndio inakupa IQ kubwa?Kusoma ndio kuwa na iq kubwa?
@ Extrovert: Naomba uniruhusu niku PM mkuu!Tofauti zinazoonekana kwa macho ni front grill, tail lights rims & interiors.
1.Athlete grill yake ni ya mesh au chekeche while royal saloon grill yake ni ya horizontal stripes.
2.Tail lights za Athlete ni za Led dual rings while Royal saloon ni Led horizontal stripes. In short taa za Athlete ziko more sporty looking.
3.Rims za Athlete zina solid alloy spokes while Royal salon ni thin alloy spokes.
4.Interiors za Athlete nyingi ni Ash Grey while za Royal saloon ni Wood furnished (za rangi ya mbao)
Huna lolote nakumbuka huko nyuma tumewahi bishana sana kwenye mada flani karibu pm tufanye ligi za kiume barabarani majibu uyalete hapa jf kwa wenzako mimi ni dogo sawa ila umenipita miaka tu nothing else unajionaga master hapa jf kumbe huna kitu takataka kama takataka nyingineL
Kwa ufahamu wako unadhani IQ test ni academic test sivyo?
Acha papara dogo, jifunze kuwa na subra.
Mihemko itakuumbua aisee
Sikufunzwa kuheshimu wanaojifanya wanaelewa kila kitu kumbe in real life ni takataka kama takataka nyingine hoja yangu nimekuambia karibu tufanye ligi majibu uyalete hapa jf au hata gari huna mkuu unabwabwaja tu kufurahisha watu hapa jfHah hah haaaa. Hoja hujibiwa kwa hoja, sio matusi, dhihaka wala kashfa.
Tuliza papara, acha kupelekeshwa puta na hisia, wapende hata ambao wanakuudhi, kamwe baraka hazitoondoka nyumbani kwako.
Samehe badala ya kutukana.
Be blessed
Sawa takataka ukitaka kuuonyesha ubora wako kwenye magari pm yangu iko wazi karibu sana sema acha showoff alafu huna kitu usifikiri kila aliyepo jf ni level zakoUnatumia nguvu nyingi sana kulumbana na takataka
Uko sawa kabisa alafu hakuna kipaji Cha kudrive ni hoby tu
Karibu sana mzee, PM iko wazi@ Extrovert: Naomba uniruhusu niku PM mkuu!
Gari nyepesi sana kuchanganya na inashawishi sana ukiwa barabarani.. nguvu na speed kali sana.Hz gari zinakatisha uhai wa vijana wengi wadogo i don't knw why?
Weee ni mzoefu sasa imagine ndo kijana kaanza maisha kanunua hiyo kitu kwenda kula nayo bata.Nilicho notes na hiki, zinakimbia sana na zikiwa zimetulia ( zipp stable ). Ila sasa brake kali zinapokuwa kwenye speed kali kwa madereva wadogo ambao macho juu hawana skilis, ndio zinapo waacha hapo na kuwamalizia hapo. Mala kadhaa nimeisha kimbiza Athlete tp 160 to 180.. nilipo jaribu kupiga brake ndio nikaona hiyo kitu, inakuwa kama inataka kukutupa hivi 😀😀😀
Kuwahi kufika nyumbani 🙄Gari nyepesi sana kuchanganya na inashawishi sana ukiwa barabarani.. nguvu na speed kali sana.
Wajuzi wanasema ili uimudu vizuri isiwe gari yako ya kwanza au ya pili kuendesha. Means uwe mzoefu wa kutosha kwenye magari.
Vijana wanaanza kazi fasta kanunua hiyo ndinga...enda kula bata mtungi wa kutosha...unarudi safari ndefu nyt kali unategemea nn?
Vijana huwa hawasumbui akili ya kufikiria wanapo endesha na ku note tabia za gari, katika mazingira tofauti tofauti. Mtu hajawai notes tabia ya gari flani inapokuwa kwenye zaidi ya 120+ na inapokuwa chini 120-.. anapuyanga tu, Msikanyo 😀 anashika akama ana mtomasa demu wake, kwanini asikufe au kupatwa na ajariWeee ni mzoefu sasa imagine ndo kijana kaanza maisha kanunua hiyo kitu kwenda kula nayo bata.
Wajuzi wanasema ukitaka kuendesha hiyo gari isiwe gari yako ya kwanza au ya pili
Akirudi kitaa anasukuma kistarlet ka mshkaji namba A ....haloooJf unaweza pigwa mkwala na mtu, hadi ukazimia kumbe mtu mwenyewe anaekupiga mkwala yupo hostel za chuo tena wamebebana kanavumilia njaa hata hela ya chai unakuta hakana, kanapiga pasi ndefu 😀😀😀😀
Wenye cadillac escalade ,etutumetulia tu tuna watazama tu matajiri wanavyo pigana ngumi za puaEeh M/Mungu naomba uniondoleee Kiburi na Majivuno ni sumu katika ustawi wa jamii.....Ndugu zangu tupunguze viburi na majivuno wala havina umuhimu kwenye maisha utajikuta unaishia pabaya.
Mkuu uko sahihi 120%.Gari nyepesi sana kuchanganya na inashawishi sana ukiwa barabarani.. nguvu na speed kali sana.
Wajuzi wanasema ili uimudu vizuri isiwe gari yako ya kwanza au ya pili kuendesha. Means uwe mzoefu wa kutosha kwenye magari.
Vijana wanaanza kazi fasta kanunua hiyo ndinga...enda kula bata mtungi wa kutosha...unarudi safari ndefu nyt kali unategemea nn?
Chukua BMW 5 series.. Gari ya mzungu utafurahiAthlete nikiokota hela nitaichukua hiyo mashine.
Engine zote sawa. Yoyote kati ya hizo yaweza kuwa 2.5L 4gr or 3.0L 3gr. Tofauti kazielezea Extrovert vizuri sana.Hii mada ya hizi gari utofauti naona ni kwenye suspension zake. Athletes suspension zake ni stiff wakati royal suspension zake ni soft kidogo pia engine size moja ni 2.5l na athlete ni 3.0l. Ila tofauti zingine ni muundo wa gari lenyewe kuanzia ndani kuja nje.
Wenye cadillac escalade ,etutumetulia tu tuna watazama tu matajiri wanavyo pigana ngumi za pua
uwe unatumia hand brake au parking brakeNilicho notes na hiki, zinakimbia sana na zikiwa zimetulia ( zipp stable ). Ila sasa brake kali zinapokuwa kwenye speed kali kwa madereva wadogo ambao macho juu hawana skilis, ndio zinapo waacha hapo na kuwamalizia hapo. Mala kadhaa nimeisha kimbiza Athlete tp 160 to 180.. nilipo jaribu kupiga brake ndio nikaona hiyo kitu, inakuwa kama inataka kukutupa hivi 😀😀😀