Ipi ni shahada nzuri kati ya 'Accounting' na 'Banking and Finance'

Kibra49

Senior Member
Jul 19, 2017
177
47
Habari wana JF naombeni mnijuze kuhusu hizi kozi mbili utofauti wake, wigo katika kazi pia ipi ni nzuri kuisoma
 
Unajua vitu vingine mkuu ni rahis sana kama unania ya kunisaidia kujua ilo basi unisaidie mm ninasomea automobile engineering kuna ndugu yangu kaniomba nimsaidie kwa wanaojua kwaio kama hujui usiongee maneno ya kukashifu
 
Back
Top Bottom