navigator msomi
Senior Member
- May 8, 2018
- 150
- 159
Habari vipi wadau,
Leo ninaomba mnipatie ushauri kuhusu sehemu sahihi ya kuhifadhi pesa kati ya M pesa na Bank, kuna pesa ninayo saizi ila matumizi yake nimepanga yafanyike kuanzia mwezi wa tano.
Kwa saizi pesa iko katika account ya CRDB lakini kila siku naona kama inazidi kupungua hata bila ya kuitoa. Sasa je, ni benki ipi nzuri ukiachana na hii CRDB au niiweke tu M- Pesa.
Ushauri wenu ni wa muhimu wadau.
Leo ninaomba mnipatie ushauri kuhusu sehemu sahihi ya kuhifadhi pesa kati ya M pesa na Bank, kuna pesa ninayo saizi ila matumizi yake nimepanga yafanyike kuanzia mwezi wa tano.
Kwa saizi pesa iko katika account ya CRDB lakini kila siku naona kama inazidi kupungua hata bila ya kuitoa. Sasa je, ni benki ipi nzuri ukiachana na hii CRDB au niiweke tu M- Pesa.
Ushauri wenu ni wa muhimu wadau.