BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,209
- 39,020
Wakuu kwema?? Tumeshuhudia 13 october apple wamereveal iphone12 ambapo kwa taarifa mpaka sasa itavunja record ya iphone11 kwa mauzo na pre orders. Sasa turud kwa topic.
Samsung wali lunch s20 february mwakahuu lakini ndo simu ambayo imefanya vibaya sana sokoni hta price imeporomoka sana. Tatizo ni nini?
Wale wataalam karibuni kwa huu mjadala
Samsung wali lunch s20 february mwakahuu lakini ndo simu ambayo imefanya vibaya sana sokoni hta price imeporomoka sana. Tatizo ni nini?
Wale wataalam karibuni kwa huu mjadala