Ipi ni njia sahihi ya kutokomeza umasikini nchini Tanzania?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Dec 18, 2017
4,040
10,459
Najua hii nyuzi inaweza kuwa msaada mzuri kwa Wananchi wa Tanzania ambao wamekata tamaa na pia kwa viongozi ambao sio watatuzi wazuri wa matatizo kupata mikakati na mbinu za jinsi ya kupunguza umasikini katika maeneo wanayoyaongoza..

Mi naanza:
Inawezakana wazungu wakawa watu wabaya ila nachojua kupitia wao ndo tumejua nini maana ya Demokrasia, Uchumi, Teknolojia, ustaarabu na mengine mengi mazuri na mabaya yakiwemo.

Na kwa utafiti usio rasmi ni kuwa nchi zenye uhusiano mzuri na wazungu zimeendelea mfano mzuri ni SouthAfrica.

Mapendekezo Yangu ni kuwa kama tunataka kuwa na Uchumi ulioendeea basi tushirikiane vizuri na aliyegundua maana ya uchumi kwa kumpa

- Mazingira mazuri ya uwekezaji
- Kuwapa fursa ya kuchagua kuwa raia wa Tanzania
- Na wakiwa raia wa Tanzania tuwapigie kura kuwa viongozi pale itapoonekana inafaa hata kushika nafasi nyeti kama URaisi
- Tuwafanye wawe wake au waume wetu.

Kwa ufupi ni kuwa tumkubali mzungu kama ni ndugu yetu then umasikini utakuwa ni history Tanzania.
 
Mkuu huko south afrika ni wazungu wanawabagua watu weusi balaa, labda kama umezaliwa leo, hao viumbe weka mbali na watoto bora tukazane kulima dona na tembele
 
Mkuu huko south afrika ni wazungu wanawabagua watu weusi balaa, labda kama umezaliwa leo, hao viumbe weka mbali na watoto bora tukazane kulima dona na tembele
Kuna wakati Ben Carson alishawahi kujuta kuishi Marekani kutokana na ubaguzi ila Leo ana kiri kuwa hakuna sehemu nzuri na sehemu sahihi kuishi kama Marekani. Pointi ni kuwa kuna wazungu wazuri na wabaya vilevile waAfrica wazuri na wabaya na ni wengi wamefanyiwa ukatili na watu wa asili yao.
 
Thank you sir, i think the best way for us to develop is simple, we invite investors and we came up with freadly investment laws like rwanda or ethiopia, then we will kick poverty goodbye slowly mkuu, but i really like your way of seeing things, be blessed sir
 
Sababu zako zipo tofauti sana na mawaza ya Mh rais wetu
Najua hii nyuzi inaweza kuwa msaada mzuri kwa Wananchi wa Tanzania ambao wamekata tamaa na pia kwa viongozi ambao sio watatuzi wazuri wa matatizo kupata mikakati na mbinu za jinsi ya kupunguza umasikini katika maeneo wanayoyaongoza..

Mi naanza.
Inawezakana wazungu wakawa watu wabaya ila nachojua kupitia wao ndo tumejua nini maana ya Demokrasia, Uchumi, Teknolojia, ustaarabu na mengine mengi mazuri na mabaya yakiwemo.

Na kwa utafiti usio rasmi ni kuwa nchi zenye uhusiano mzuri na wazungu zimeendelea mfano mzuri ni SouthAfrica.

Mapendekezo Yangu ni kuwa kama tunataka kuwa na Uchumi ulioendeea basi tushirikiane vizuri na aliyegundua maana ya uchumi kwa kumpa
-Mazingira mazuri ya uwekezaji
-Kuwapa fursa ya kuchagua kuwa raia wa Tanzania
-Na wakiwa raia wa Tanzania tuwapigie kura kuwa viongozi pale itapoonekana inafaa hata kushika nafasi nyeti kama URaisi
-Tuwafanye wawe wake au waume wetu.

Kwa ufupi ni kuwa tumkubali mzungu kama ni ndugu yetu then umasikini utakuwa ni history Tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom