dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,019
- 5,435
Habari zenu viongozi,
Katika suala la kuanzisha maisha wengi wetu hupenda kujipanga kwanza ndo waoe.
Wengine/ wachache hupenda kuoa ndo waje waanze maisha na wenza wao.
Sasa hao wachache wanadai mwanamke akikukuta unakila kitu, yaani nyumba , gari na vyanzo vinginevyo vya mapato wanakuwaga na shida sana.
Afadhali umuoe mje muanze maisha , mchume wote kwa pamoja , hata mkiachana na mkaamua kugawana mlichochuma inakuwa haina athari kwa wote, kwa sababu mmechuma wote kwa pamoja.
Je wewe members wa jf ungependelea chaguo gani kati ya hizo?
Katika suala la kuanzisha maisha wengi wetu hupenda kujipanga kwanza ndo waoe.
Wengine/ wachache hupenda kuoa ndo waje waanze maisha na wenza wao.
Sasa hao wachache wanadai mwanamke akikukuta unakila kitu, yaani nyumba , gari na vyanzo vinginevyo vya mapato wanakuwaga na shida sana.
Afadhali umuoe mje muanze maisha , mchume wote kwa pamoja , hata mkiachana na mkaamua kugawana mlichochuma inakuwa haina athari kwa wote, kwa sababu mmechuma wote kwa pamoja.
Je wewe members wa jf ungependelea chaguo gani kati ya hizo?