Nowonmai
JF-Expert Member
- Jan 15, 2019
- 1,019
- 1,094
Ikishafika mahali uanachama na michango yake sio hiari, labour unions zinakuwa sawa na magenge mengine ya uhalifu(mafioso) yanayotoza pesa kwa lazima kutoka kwa wanachama wake huku yakiwa yamehalalishwa na sheria. Na ukiona hivyo ujue hali inaruhusu magenge mengi ya aina hiyo kuibuka yakivaa nyuso za sheria na kumpitia kila mtu isipokuwa tu wabarikiwa fulani.