kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Tumeshuhudia nchi nyingi ambazo ni watengenezaji wa silaha za kivita ikiwemo ndege, mabomu, mizinga, vufaru na silaha nyinginezo kustaafisha na kuziondoa kwenye matumizi amabapo zimetumia garama kubwa kuzitengeneza.
baadhi ya silaha hizi hazijatumika vitani zaidi ya kufanyiwa mazoezi na majaribio tuu!!
je, Silaha hizi hazitotumika tena hata ikitokea vita?
baadhi ya silaha hizi hazijatumika vitani zaidi ya kufanyiwa mazoezi na majaribio tuu!!
je, Silaha hizi hazitotumika tena hata ikitokea vita?