Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,430
- 3,250
Kumekuwa na tetesi kuwa kesho jmosi doktazi watagoma,lakini hivi punde tu waheshimiwa wenye dhamana wamewapa unafuu wa jambo lao.Ikumbukwe kuwa doktazi are PCB'S (physics,chemistry & biology) oriented subjects,hivi wataalamu wengine vipi? au ndio kusema PCB ni combination BORA SANA?,Na hili suala linawafundisha nini walioko shuleni kwa sasa?.Au doktazi hawa hawana subira na wito kama wengine au hizo fani nyingine za science hawataki yale doktazi wanataka?.
Asante nawasilisha.
Asante nawasilisha.