Salanya Jr
New Member
- Sep 22, 2011
- 1
- 0
Nasikitishwa na unyanyasaji wa hii kampuni ya huduma kwa wateja inayofanya kazi zake na kampuni moja ya simu za mkononi maarufu hapa nchini, kinacho nikwaza ni mishahara midogo Tsh 150000/= kwa mwezi pamoja na kupanda kwa gharama zamaisha nchini,Swali langu la msingi ni je, Elimu ya vijana wetu waliosoma kwa mkopo wa kusumbuliwa ndo unalipwa kwa staili hii? je kuna haja ya kusomesha watoto wetu shahada na stashahada? hata kama haja ipo tutawezaje?