Joseph Kadasula
Member
- Apr 26, 2016
- 21
- 19
Wadau habari za majukumu, naomba kuuliza kwa wanaojua au ambao tayari wameshatumia simu hizi zinazopigiwa promo kwa sasa na makampuni ya Vodacom na Tigo maarufu kama Kitochi 4G Smart.
Napenda kujua ipi ni bora zaidi japo naona zinafanana ila tofauti kulingana na maelezo yao na battery capacity ya Vodacom ni 1400mAh na Tigo ni 1900mAh. Kama kuna zingine nijuzeni na ubora wake nataka ninunue. Asanteni.
Napenda kujua ipi ni bora zaidi japo naona zinafanana ila tofauti kulingana na maelezo yao na battery capacity ya Vodacom ni 1400mAh na Tigo ni 1900mAh. Kama kuna zingine nijuzeni na ubora wake nataka ninunue. Asanteni.