High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,083
Katika kujaribisha kufungua IPhone X imeshindwa kutofautisha na imejikuta ikijifungua kwa watu wafananao yaani Mapacha
Touch id is more secure than face id.
microsoft anayo tayari windows Hello,Mkuu kaangalie review you tube utaelewa kwa nini face id badala ya touch id ,.. me ni mpenzi wa iphone lakini sikutegemea kama iphone x ingekuwa na perfect face id kiasi hiki .. kwa haraka haraka competitors itawachukua two years kufanya kitu kama kile.
Hata ubadili miwani aina kumi na zaidi bado inakutambua , hata unyoe au ufuge ndevu bado inakutambua, ukivaa miwani ukafumba macho lock haitoki ila ukifumbua lock inatoka , kuna feature nyingine kama ku expand notifications pindi unapoitazama kama si mhusika notification hazi expand , hii simu ni balaa ndo maana pre order zishaisha mpaka sasa
You tubers wengi waliokuwa wanaiponda wamegeuza maneno yao baada ya kuishika mkononi ..
microsoft anayo tayari windows Hello,
Binafsi napendelea zaidi touch id ila apple kuondoa ile home button kwenye iphone x naona kama wamepunguza uzuri wa simu.Mkuu kaangalie review you tube utaelewa kwa nini face id badala ya touch id ,.. me ni mpenzi wa iphone lakini sikutegemea kama iphone x ingekuwa na perfect face id kiasi hiki .. kwa haraka haraka competitors itawachukua two years kufanya kitu kama kile.
Hata ubadili miwani aina kumi na zaidi bado inakutambua , hata unyoe au ufuge ndevu bado inakutambua, ukivaa miwani ukafumba macho lock haitoki ila ukifumbua lock inatoka , kuna feature nyingine kama ku expand notifications pindi unapoitazama kama si mhusika notification hazi expand , hii simu ni balaa ndo maana pre order zishaisha mpaka sasa
You tubers wengi waliokuwa wanaiponda wamegeuza maneno yao baada ya kuishika mkononi ..
Binafsi napendelea zaidi touch id ila apple kuondoa ile home button kwenye iphone x naona kama wamepunguza uzuri wa simu.Mkuu kaangalie review you tube utaelewa kwa nini face id badala ya touch id ,.. me ni mpenzi wa iphone lakini sikutegemea kama iphone x ingekuwa na perfect face id kiasi hiki .. kwa haraka haraka competitors itawachukua two years kufanya kitu kama kile.
Hata ubadili miwani aina kumi na zaidi bado inakutambua , hata unyoe au ufuge ndevu bado inakutambua, ukivaa miwani ukafumba macho lock haitoki ila ukifumbua lock inatoka , kuna feature nyingine kama ku expand notifications pindi unapoitazama kama si mhusika notification hazi expand , hii simu ni balaa ndo maana pre order zishaisha mpaka sasa
You tubers wengi waliokuwa wanaiponda wamegeuza maneno yao baada ya kuishika mkononi ..
Yah naona kama vile wamepoteza identity ya simu etiBinafsi napendelea zaidi touch id ila apple kuondoa ile home button kwenye iphone x naona kama wamepunguza uzuri wa simu.
Home button ina mvuto wake, ilikuwa ni utambulisho wake kwamba hii ni idivice, sasa naona ameamua kuwa kama Sony.Yah naona kama vile wamepoteza identity ya simu eti
Home button ina mvuto wake, ilikuwa ni utambulisho wake kwamba hii ni idivice, sasa naona ameamua kuwa kama Sony.
Yah naona kama vile wamepoteza identity ya simu eti
Nimeongelea iphone na ni mtazamo wangu.Huawei sumsung walivyotoa wamepoteza identity Yao?
bongo inauzwaje hii simu......nataka nikabeti nile ela niinunue
ndio kiasi gani za kibongoKuanzia dola 999 mkuu , nashauri mkeka wako uweke hapa maana wapo wengi wangependa kuagiza hiyo simu ...
Milioni mbili na usheendio kiasi gani za kibongo