Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,390
- 21,040
- Thread starter
- #21
Mkuu nlikuwa nakuheshimu sana
Mkuu nlikuwa nakuheshimu sana
Soma kwenye habari halisi ya mtoa mada sio mimi.Mkuu nlikuwa nakuheshimu sana
Simu hiyo iliingia sokoni rasmi June 29, 2007 na kuuzwa ($499) kwa yenye muundo wa 4G na ($599) kwa yenye muundo wa 8G na zote zilikuwa na mkataba wa miaka 2.View attachment 1317432
5c nishamiliki
Halafu ishu sio hyo ukiichek iyo SE ni kama 5 tu
Ishu ni kuwa iPhone zinafanana Sana halafu hamna kitu revolutionary wamefanya kama walivofanya Kwenye iPhone first generation...walichobakiza tu ni kukopi saivi Samsung,oppo,n.k
SE inafanana umbo na 5 ila specifications ni tofauti mkuu kama ram kwene SE ni 2GB kamera ni 12.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Yaani kabisa unaamini SE haipo Tanzania? Serious?! Halafu Mdau kakueleza utaje latest version, how come unataja simu iliyotoka almost 3 years ago?! We all know, linapokuja suala la smartphones, hata simu iliyotoka mwaka mmoja uliopita haiwezi kuitwa latest version, seuze iliyotoka 3+ years ago!!!Hiyo SE unaijua? ulishawahi kuona hata baadhi ya maduka wanauza hata? Na iPhone za line mbili?
latest version kwani ww hujui mzee hukuelewa alichouliza na mm pia majibu yangu ulisoma lakini? Alichouliza nikuwa jamaa hawana plan endelevu muundo niuleule hakuna kipya ndicho alichouliza.Yaani kabisa unaamini SE haipo Tanzania? Serious?! Halafu Mdau kakueleza utaje latest version, how come unataja simu iliyotoka almost 3 years ago?! We all know, linapokuja suala la smartphones, hata simu iliyotoka mwaka mmoja uliopita haiwezi kuitwa latest version, seuze iliyotoka 3+ years ago!!!
Alisema hawana uendelevu, wewe ukasema kuna iPhone Version ambazo hata Bongo hazijagusa, nae akakueleza:-latest version kwani ww hujui mzee hukuelewa alichouliza na mm pia majibu yangu ulisoma lakini? Alichouliza nikuwa jamaa hawana plan endelevu muundo niuleule hakuna kipya ndicho alichouliza.
Kwahiyo yeye emetaka latest version, na ndio maana nami nikakuambia, kwa kasi ya smartphone, simu za 2016 haziwezi kuwa kwenye kundi la latest smartphones! Kwahiyo nami ningependa kukazia hoja ya mwana hapo juu, weka hizo latest version hapa ambazo Bongo hazipo, na sio za mwaka 2016!! Na isitoshe, hata hizo SE ulizosema, Bongo zipo!!Nitajie latest hapa usinitajie za 2003
Bongo hakuna latest version zipo zote kwa sasa lakini dual sim ndio hazipo kama zipo ni chache sana maduka mengi hakuna kabisa au ww ulishaziona ngapi?Alisema hawana uendelevu, wewe ukasema kuna iPhone Version ambazo hata Bongo hazijagusa, nae akakueleza:-
Kwahiyo yeye emetaka latest version, na ndio maana nami nikakuambia, kwa kasi ya smartphone, simu za 2016 haziwezi kuwa kwenye kundi la latest smartphones! Kwahiyo nami ningependa kukazia hoja ya mwana hapo juu, weka hizo latest version hapa ambazo Bongo hazipo, na sio za mwaka 2016!! Na isitoshe, hata hizo SE ulizosema, Bongo zipo!!
Nikupatie mawasiliano ya anaeuza hizo iphone dual line?!Bongo hakuna latest version zipo zote kwa sasa lakini dual sim ndio hazipo kama zipo ni chache sana maduka mengi hakuna kabisa au ww ulishaziona ngapi?
Itakuwa vzr sana nashiza nazo mm.
SE, 5c hata hizi latest za double dual sim hakuna bongo.