Sam pizzo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2012
- 846
- 515
Wakuu kuna jamaa yangu Iphone 7 yake ameiflash sababu alikua amesahau apple ID after flashing imeanza kumsumbua akienda kwenye baadhi ya apps mfano WhatsApp,sms akitaka kutype kitu ina restart yenyewe.
Je, shida ni nini? Na ni jinsi gani ya kutatua?
Je, shida ni nini? Na ni jinsi gani ya kutatua?