cDNA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2016
- 353
- 348
Habari zenu wakuu mlio ktk uhalisia wa maisha ya Bongo...
Ninatarajia kuiuza simu tajwa hapo juu ila naomba mnijuze niiuze kwa bei gani kutokana na hali halisi halisia ya uchumi wa Bongo.
Chaja ina kasoro kidogo sehemu ya juu ambayo haiathiri ufanisi wake ktk kuchaji.
Ninatarajia kuiuza simu tajwa hapo juu ila naomba mnijuze niiuze kwa bei gani kutokana na hali halisi halisia ya uchumi wa Bongo.
Chaja ina kasoro kidogo sehemu ya juu ambayo haiathiri ufanisi wake ktk kuchaji.