Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 😂3)moja ni simu ya kuitumia nyingne ni simu ya kukutumia
Umebugi hapo mzee iphone 6 haisupport ios 13 latest kwake ni ios 12.4.2.na kingine mwe ye samsung s6 anawigo mpaka sababu ni android anaweza hata kupata custom os ya 8 au 9 iloiyostable na akaienjoy matumizi yake.Nimetumia Samsung galaxy s6 kwa miaka mingi, na kiukweli nakushauri uchukue iPhone 6, na sababu kubwa ni iOS 13. Galaxy s6 ni nzuri (especially screen yake) lakini haina update yoyote ipo kwenye Android 7, pia battery life yake ni mbaya; sasa kama hiyo ni used unaweza kiutupa because utakuwa kwenye charger muda mwingi sana. Mawazo yangu tu.
Ohh kweli mwisho ni iOS 12, 6S ndio iOS 13 (mtoa mada bora uchukue hii AliExpress zinauzwa 360k). Hayo maswala ya custom roms nitawaachia nyie nilistaafu hayo mambo miaka 4 iliyopita.Umebugi hapo mzee iphone 6 haisupport ios 13 latest kwake ni ios 12.4.2.na kingine mwe ye samsung s6 anawigo mpaka sababu ni android anaweza hata kupata custom os ya 8 au 9 iloiyostable na akaienjoy matumizi yake.