niko dar mkuu mawasiliano sehem gan? kule stend simu2000 au mawasiliano kweny jengo la ghorofa paleUko wapi? Kama uko Dar unaweza kwenda Iphone city pale mawasiliano ama kuna fund mmoja yuko pale mbezi beach Kituo cha bondeni ukishuka kama unatokea mwenge upande wa kushoto
sawa nasubiria ushauri wakoSijawahi kumshauri mtu akafuata ushauri wangu akakwama,iwapo itakupendeza upande ndege uende marekani kule kampuni inakutengenezea simu bure kabsaa! Hawakutozi hata 200 ya kiwi
Amekshakushauri mnaotumia iphone mnasemekana kuwa na noti za kitosha. Kasema upende ndege uende marekan ukatengenezewe bure
Simu 2000 duka liko oposite na get la kuingilia daladalaniko dar mkuu mawasiliano sehem gan? kule stend simu2000 au mawasiliano kweny jengo la ghorofa pale
Ushauri wa bure hiyo simu kama imegoma kuwaka usizidi kuichomeka charger itakufa vitu vingine ,, take care bro,, fika kwa fundi
madundi wenyewe wenge kibao.
unapeleka simu imezima,inawaka mara unashangaa haipandishi charge.
kiukweli simu ikiishafika kwa fundi huwa inapoteza uhakika wa kuishi kabisa.