Mfalme26
Senior Member
- Feb 23, 2021
- 128
- 217
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza wadau.
Nimekuwa na simu yangu iphone 6, lakn ghafla juzi hapa, nilitoa kwenye charger but nilipoiplug in baada ya muda ikakataa kuwaka na kuchaji.. Nimeipeleka kwa fundi kaniambia inarekebishika.. Lakn siwaamini sana mafundi simu. Naomba mnieleweshe kabla ya kufanya maamuzi.
Nawasilisha
Nimekuwa na simu yangu iphone 6, lakn ghafla juzi hapa, nilitoa kwenye charger but nilipoiplug in baada ya muda ikakataa kuwaka na kuchaji.. Nimeipeleka kwa fundi kaniambia inarekebishika.. Lakn siwaamini sana mafundi simu. Naomba mnieleweshe kabla ya kufanya maamuzi.
Nawasilisha