kioo hakina scratch mkuu kilikuwa na screen protector, ukiitumia simu lazima ipate scratches kwenye housing ndio maana nimetoa maelezo ya kutosha kuonyesha hali halisi ya kitu chenyewe,,kama wahitaji kununua si utaona mwenyewe kama inafaa au la',,,Watu wa Arusha na iphone zenye scratch,nimekuwa naangalia mara nyingi matangazo ya watu wa Arusha wanaouza hizi I phone wengi husema I phone zao ni nzima tatizo ni kuwa kidogo kioo chake kina scratch hili linanitatiza kidogo,
Nimekusoma kaka asenti kwa ufafanuzikioo hakina scratch mkuu kilikuwa na screen protector, ukiitumia simu lazima ipate scratches kwenye housing ndio maana nimetoa maelezo ya kutosha kuonyesha hali halisi ya kitu chenyewe,,kama wahitaji kununua si utaona mwenyewe kama inafaa au la',,,