Iphone 3GS

Mnandi

Senior Member
Aug 30, 2011
156
25
nauza Iphone 3GS at 350,000/=, ina 16GB Unlocked, ios 4.3.3,,anaehitaji aniPM tufanye biashara


image0717.jpg


image0716.jpg
 
Mi naipenda sana lakini nina hofu kwani cjawahi ku2mia. Ni jana tu nimeinunua NOKIA C7 na nafikiri ngoma ni droo.
 
Watu wa Arusha na iphone zenye scratch,nimekuwa naangalia mara nyingi matangazo ya watu wa Arusha wanaouza hizi I phone wengi husema I phone zao ni nzima tatizo ni kuwa kidogo kioo chake kina scratch hili linanitatiza kidogo,
 
Watu wa Arusha na iphone zenye scratch,nimekuwa naangalia mara nyingi matangazo ya watu wa Arusha wanaouza hizi I phone wengi husema I phone zao ni nzima tatizo ni kuwa kidogo kioo chake kina scratch hili linanitatiza kidogo,
kioo hakina scratch mkuu kilikuwa na screen protector, ukiitumia simu lazima ipate scratches kwenye housing ndio maana nimetoa maelezo ya kutosha kuonyesha hali halisi ya kitu chenyewe,,kama wahitaji kununua si utaona mwenyewe kama inafaa au la',,,
 
kioo hakina scratch mkuu kilikuwa na screen protector, ukiitumia simu lazima ipate scratches kwenye housing ndio maana nimetoa maelezo ya kutosha kuonyesha hali halisi ya kitu chenyewe,,kama wahitaji kununua si utaona mwenyewe kama inafaa au la',,,
Nimekusoma kaka asenti kwa ufafanuzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom