mimi naweza lakini inaonesha hiyo simu yako iko locked so unapoiupgrade inabidi uijailbreak kwanza ili ufunge cydia sasa sijui imelokiwa na kampuni gani ni pm
Hamna ulazima wa kujua imelokiwa na kampuni gani, utakapoJailbreak utaiUnlock baadae kwa mitandao yote..kwenye cydia unaweza kuongeza hizi repostitory address, modmyi ina themes nyingi sana nzuri na xsellize kuna tweaks nyingi za bure na utapata Winterboard, Summerboard na Dreamboard..address zake hizi unaweza kuziAdd {apt.modmyi.com} na {cydia.xsellize.com}Nina Iphone version 3.1.3 nataka ku-upgrade iwe 4.2.4 au zaidi mwenye uwezo huo nijulishe ili nikuletee unirekebishie Mimi Niko Dar-es-salaam.
Pia itapendeza kama ataweza kuniwekea Winterboard.