Toleo jipya likitoka unayo option ya kuchukua mpya cash ukawa na contract ya air time au bundle. Mfano hii wamesema bei kwa cash ni £949. Unaweza pia ukinunua kwa contract ha hao wamesema contract ni £39 kwa mwezi kwa miezi 24. Baada ya hapo inakua ya kwako.Nasikia nchi za nje unaweza rudisha toleo lililopita dukani ukaongeza pesa kidogo na kuchukua toleo jipya.
Halafu uliyorudisha ndiyo inauzwa kama refurb huku Tz.
Ni kweli?
Nasikia nchi za nje unaweza rudisha toleo lililopita dukani ukaongeza pesa kidogo na kuchukua toleo jipya.
Halafu uliyorudisha ndiyo inauzwa kama refurb huku Tz.
Ni kweli?
NdioNasikia nchi za nje unaweza rudisha toleo lililopita dukani ukaongeza pesa kidogo na kuchukua toleo jipya.
Halafu uliyorudisha ndiyo inauzwa kama refurb huku Tz.
Ni kweli?
11 na contract haijakwisha,
Ni kweli ila most of time unalaliwa tu. Huongezi kidogo unaongeza sana. Ndio maana refurb bei rahisi.Nasikia nchi za nje unaweza rudisha toleo lililopita dukani ukaongeza pesa kidogo na kuchukua toleo jipya.
Halafu uliyorudisha ndiyo inauzwa kama refurb huku Tz.
Ni kweli?
Nilikua na 7 pro nikajua contract ikiisha ninaanza kununua air time tu, contract inakwisha na simu inakufa. Waliniambia hawawezi kuitengeneza iwani sina contract tena. Ilibidi nichukue simu mpya.
Nitabadilisha nipate iPhone 13 pro contract ikiisha na ni kwasababu ya storage tu. Kabla ya iPhone 7 pro iPhone 5 nilikaa nayo muda mrefu sana. Niliibiwa na mpangaji wangu.Hivi wenzangu mnawezaje kukaa na toleo muda hivyo? Mi kila mwaka nabadili
Napata viwanja viwili hapo kivuleUmeiona bei yake lakini kama milion 3.5 hivi. Msingi wa nyumba kabisa.
$1000 ni Million 3?, hiyo price tag umeiona wapi mbona sijaona tag ya $1500 mahala popote...!?Umeiona bei yake lakini kama milion 3.5 hivi. Msingi wa nyumba kabisa.
2.7M kabla ya kodi na faida.$1000 ni Million 3?, hiyo price tag umeiona wapi mbona sijaona tag ya $1500 mahala popote...!?
Ooh, kumbe ni kibongobongo, hapo sawa...2.7M kabla ya kodi na faida.
$699 kwa mini ila ikija bongo mpaka 2.7 inafika.Ooh, kumbe ni kibongobongo, hapo sawa...
Bei yakr hata 200k haifiki.iPhone 5 bado inafanya kazi vizuri kabisa.