iPhone 11... kuvunja rekodi?

nawewe usiponde ram 12gb wakati apple anasubiri waje wakuwekee 2023 kisha wakuchape $1100.kama kawaida maana utanunua tu.

Nenda youtube afu uringanishe ram management
Iphone japokuwa ina 4gb ila ina tunza ram kuriko sim ya 8gb au ata 10gb
Incase hujui maana ya ram

Ukitoka apo ringanisha pixel 3 yenye 4gb na iphone ambayo ina 4gb uone disaster
 
Nenda youtube afu uringanishe ram management
Iphone japokuwa ina 4gb ila ina tunza ram kuriko sim ya 8gb au ata 10gb
Incase hujui maana ya ram

Ukitoka apo ringanisha pixel 3 yenye 4gb na iphone ambayo ina 4gb uone disaster
swala la kutunza ram liko kiasili zaidi na si kiufundi.tungekuwa na simu inayotumia OS yake yenyewe kama tizen kwa samsung au window kwa lumia,tungeongea lugha moja.ndio maana kuna mtu huko juu alisema hatuwezi pima ubora wa ios kwa kutumia simu yake tu,ingekuwa inatumiwa na kampuni nyingine za simu,huwenda ingeleta matokeo mabaya kuliko android.

hata hivyo sio swala la kusifu sana maana pc za apple zina ram kubwa sana tu mpaka gb 16.
 
Nilitumia Samsung S8+ na iPhone 6s kwa pamoja , kwa upande wa kamera S8+ anasubiri kwa iPhone 6s.

Niliamua kuigawa na kubaki na S8+ yangu, sababu inakidhi mahitaji na uhuru wangu.!
hii s8+ ilikuwa na kideri
 
Iphone ni simu ngumu sana na inadumu, huwez compare na sim zingine anyway,
Naandaa bajeti yangu ili nivute iphone 11,
 
Iphone ni simu ngumu sana na inadumu, huwez compare na sim zingine anyway,
Naandaa bajeti yangu ili nivute iphone 11,

Wanachonifrahisha ni ubora wao haushuki na bei zao haziporomoki
Tatizo ni wanabana na ukiwa mtu wa mambo mengi zinaboa sana otherwise uko kwenye ecosystem yao
 
hii s8+ ilikuwa na kideri
Hapana mkuu ni mpenzi wa Samsung toka s4 sijawahi kuruka toleo mapaka sasa nipo na S8+ hii.

Kamera ya iPhone inashawishi sana, hata sasa nikikurushia picha za simu zote mbili utaona utofauti mkubwa.

Mimi ni mtu wa ku download sana, ndio maana iPhone ikanishinda.!
 
Iphone ni simu ngumu sana na inadumu, huwez compare na sim zingine anyway,
Naandaa bajeti yangu ili nivute iphone 11,
hii simu kwenye uimara sitii neno.ni simu ngumu mno.hata ikiharibika kifaa una uhakika kitapona tu.

naweza sema apple wanafanya vitu nusu nusu kwa malengo yao wanayojua wenyewe,sababu yaweza kuwa budget kwenye research.ukitumia pesa nyingi sana kwenye utafiti tegemea faida ndogo sana na haya si malengo ya apple.
 
hii simu kwenye uimara sitii neno.ni simu ngumu mno.hata ikiharibika kifaa una uhakika kitapona tu.

naweza sema apple wanafanya vitu nusu nusu kwa malengo yao wanayojua wenyewe,sababu yaweza kuwa budget kwenye research.ukitumia pesa nyingi sana kwenye utafiti tegemea faida ndogo sana na haya si malengo ya apple.
Hujui chochote kuhusu apple. Hujawahi fuatilia chochote kuhusu apple.

Sijawahi ona simu ya apple ina flaws. Samsung note 7, ilikuwa na battery explosion, samsung fold inavunjika kioo.

Mnajaziwa specs bila utafiti, madhara yake ndo hayo sasa. Hata durability ni shida.

Bora ukae kimya.
 
Hujui chochote kuhusu apple. Hujawahi fuatilia chochote kuhusu apple.

Sijawahi ona simu ya apple ina flaws. Samsung note 7, ilikuwa na battery explosion, samsung fold inavunjika kioo.

Mnajaziwa specs bila utafiti, madhara yake ndo hayo sasa. Hata durability ni shida.

Bora ukae kimya.
Apple Hana flaw?
1.bend gate
iphone-6-bending-unbox-therapy-800x422.jpg

iPhone 6 zinazojikunja zenyewe,

2. Antenna Gate iPhone 4 zilizokuwa hazishuki network

3.touch deseases: Flickering grey bar of doom, iPhone 6 na 6 plus ambazo zilikuwa zinakufa bar ya juu
how_to_fix_touch_disease_iphone_screen_problem_800home_thumb555.jpg


4.Apple maps ambazo zilikuwa zikipoteza watu zikapigwa marufuku nchi kibao
apple-maps-funny.jpg


5.purple haze iPhone 5 pic
PurpleHaze_thumb555.jpg


6. Yellow gate vioo vilibadilika kuwa njano
Yellowgate_thumb555.jpg


7.kutoa updates zinapunguza nguvu ya processor kwa simu za zamani (wamekiri wenyewe)

8.macbook zilizokuwa zinalipuka na kusababisha Apple kuzirudisha
macbook-pro-catches-fire.jpeg


Blunders za Apple Ni nyingi tu mkuu na wao Wala sio saints kwamba hawakosei.
 
Apple Hana flaw?
1.bend gate
iphone-6-bending-unbox-therapy-800x422.jpg

iPhone 6 zinazojikunja zenyewe,

2. Antenna Gate iPhone 4 zilizokuwa hazishuki network

3.touch deseases: Flickering grey bar of doom, iPhone 6 na 6 plus ambazo zilikuwa zinakufa bar ya juu
how_to_fix_touch_disease_iphone_screen_problem_800home_thumb555.jpg


4.Apple maps ambazo zilikuwa zikipoteza watu zikapigwa marufuku nchi kibao
apple-maps-funny.jpg


5.purple haze iPhone 5 pic
PurpleHaze_thumb555.jpg


6. Yellow gate vioo vilibadilika kuwa njano
Yellowgate_thumb555.jpg


7.kutoa updates zinapunguza nguvu ya processor kwa simu za zamani (wamekiri wenyewe)

8.macbook zilizokuwa zinalipuka na kusababisha Apple kuzirudisha
macbook-pro-catches-fire.jpeg


Blunders za Apple Ni nyingi tu mkuu na wao Wala sio saints kwamba hawakosei.
Asante mkuu umeniwahi...I was going to say this...tatzo Uumini unazidi sana na kuua uhalisia hamna kizuri kisicho na kasoro!
 
Back
Top Bottom