iPhone 11... kuvunja rekodi?

Mkuu umetumia galaxy S10? Jee kwa alicholeta jana apple na kwa maoni yako Galaxy S10 plus vs iPhone 11 pro max yupi yupo better?

Kwa maoni yangu samsung ana well made phones nyingi tu in the market.
Well made android phones unamaanisha nini?

Samsung galaxy kwanini wasiwe na well made android phone?
 
But rumors zilikua hivyo na inawezekana kabisa walikua na mpango huo wakaacha! Hii shape tuloiona jana akina techradar waliileta tangu March na imekuja kweli.
Mwakani wanaweza wasilete vyote.

Nina uhakika watabadili aina ya kuchaji, apple hawataki kucopy, itakuwa wana design aina mpya ya charging na wanaifanyia majaribio ndio maana hujaiona wanaileta.
 
After 2yrs simu utaichoka na itakuwa imeshaanza kuwa slow ukicompare na current innovation in the market at that time.
It might need 4Gb ram, lets wait and see. Its not like others with 8Gb of rams and after 2 years you cant get an upgrade to the latest OS so you have to resort to underground soultions :)
 
Mkuu tuache utani... ktk design Samsung hana mpinzani!! Napenda sana apple ila hii design ya mwaka huu naungana na reviewers wengine kwamba haijanibariki. Better nibaki kwa XS max.

Wengine ktk simu ukiacha yote tunapenda designs.
Design nzuri zaidi according to u.

Thats it utofauti wa perception.
 
Ni kwa sababu pia wanaweka battery ndogo compare to android. But apple wanachip zenye perfomance kubwa kuliko za qualcomn( hapa tuwape ushindi tu mkwawa). Even in GPU They are far ahead of what qualcomn will offer this year
So vitz Ni nzuri Kushinda V8?

Kikawaida iOS inatakiwa ikae na chaji zaidi sababu Ni closed system, haina true multitasking, App haziwezi ku access files za app nyengine etc na iPhone Zina vioo vyenye resolution ndogo, SOC zake zinatumia efficiency manufacturing process etc

Lakini Cha ajabu hazikai na chaji compare na alternative za Android.
 
sasa kufananisha techno na iphone unakosea sana. Tecno hatengenezi flagship
Tecno mwakani anakuja na simu ina Camera 16 na ndogo zaidi itakua na MP 80.

Nimeangalia Apple hawajaja na kitu chochote cha maana kabisa lakini utashangaa simu inauzwa Milion 5.
 
Mkuu tecno wanatumia soc zenye uwezo mdogo sana ili waweze kupata faida kubwa kwenye simu zao na wanadanganya watu kwa kuweka battery kubwa na kamera zenye mp kubwa lakin poor quality lens
Ikiwa lengo ni kufika tu na utumiaji mzuri wa mafuta, basi achia mbali IST, hata Vespa tutasema ina utumiaji mzuri wa mafuta. Hapa tunachozungumza ni utumiaji wa resources.

Hata tecno unakuta zina specs kubwa ila hazifui dafu kwa iphone 5 tu, kwanini unadhani?

Labda the quality of the battery sio nzuri au may be on the background, the OS is doing something
 
Hv hawa BOE technolgy yao ni ya ujanja ujanja?..nlidhani wame come up na Something special kucompete na Samsung kwny dipslay productions
Boe Ni mwizi tu Samsung akishawakamata wanaovujisha Siri watasumbuka Sana. Hao ndio walio supply foldable display kwa Huawei kila Samsung akipostpone na wao Wana postpone.
 
Mkuu Apple wenyewe wameshadakwa kwenye updates zao wanapunguza nguvu za processor, ili watu waone simu zipo slow na kununua nyengine.

Na developer wanalazimishwa kudevelop kwa iPhone mpya indirectly. Apple kupitia tools zake anaweka minimum os inayohitajika kudevelop apps then simu anayotaka kuipiga chini haipi hio os, utawalaumu developers Ila aneratibu huo mpango Ni Apple mwenyewe.
Apple wamefanya kosa kwa kutosema ukweli kuwa wanapunguza perfomance speed kwenye new updates. Siamini kama alikuwa anafanya ivo ili kufanya watu wanunue toleo jipya. Maana kwa Apple tu, angeamua tu kama Samsung, baada ya 2 years hupati updates tena na watu wangeendelea kununua izo iphone.

Hoja yake Apple ina make sense, newer updates zinaathiri perfomance ya previous devices, ingawa mimi binafsi, hata sijanotice hio perfoamnce change (labda kwa sababu nimeacha matumizi mazito ya simu) lakini you cant deny it.

ingekuwa Apple wanataka ununue new device each year, trust me, wasingepunguza perfomance ya, wangeiacha tu ipige mzigo mpaka ikukere mwenyewe. Unafikiri ukiweka windows 10 kwenye computer la pentium 2 utatamani kukaa nayo? :D

Kuhusu Mpango wa Apple kuforce developers kutotengeza new updates for old devices, labda kuna ukweli nyuma ya pazia, lakini kama ilivyo Android, iOS pia ina another side of the story, kina Cydia na wenzao, lakini hata wao sasa ivi hawajishuhulishi na simu kama iphon 4. mimi ninachoona kuwa kinafanya haya kutokea, ni ile status ambayo imejengeka kwa watu na kwa madevelopers, kuwa Apple devices ni premium devices na wana expect users kuchange phones frequently. But i believe hii trend itakwisha na watakaokuwa safe ni wenye iphone X na kuendelea.
 
Ni kwa sababu pia wanaweka battery ndogo compare to android. But apple wanachip zenye perfomance kubwa kuliko za qualcomn( hapa tuwape ushindi tu mkwawa). Even in GPU They are far ahead of what qualcomn will offer this year
Mkuu sijazungumzia kuhusu perfomance ya chip Hapo.

Kwenye battery life zipo Android zenye battery ndogo mfano Xperia xz1 niliyoweka hapo Juu yenye 2700mah unaweza Nipa bidhaa yoyote ya Apple inayoweza kutop? Hint iPhone xr na 11 zote Zina battery kubwa zaidi ya 2700mah

gsmarena_001.jpg
 
Mkuu tecno wanatumia soc zenye uwezo mdogo sana ili waweze kupata faida kubwa kwenye simu zao na wanadanganya watu kwa kuweka battery kubwa na kamera zenye mp kubwa lakin poor quality lens
Sasa mfano kama hapo kwenye Camera, unaweza kuta mtu anakuja anaponda apple 2019 ana camera ina 12mp wakati tecno ana 21mp (mfano) ila ukitizama Quality unakuta ile ya 12mp ni nzuri kuliko ile ya 21mp.
 
Hyo update inasaidia ktu gan cha ziada wakat skuhz oes upgrade tena kama za apple ni small changes sana. Chamsing hardware changes. Mfano ios 13 kwenye iphone 6 ambaya haina force touch display huwei enjoy kama kwenye iphone 6s yenye force touch display.
Mimi argument yangu ni "Making the most of your resource"

Sasa mimi, achilia iPhone, uniletee Tecno sasa ivi yenye android in 1 GB of ram, lakini it can perform like a 6Gb of rams kwenye samsung, basi nitakwambia Tecno is efficient kuliko Samsung.

Si ignore factor nyengine ambazo zinaweza kufanya simu iwe faster. tatizo lenu mnakuja hapa nakusema " 2019 Iphone bado anatumia 4Gb rams" "2019 bado iphone in 720p" "2019 bado iphone ndo inakuja na dark mode" n.k

Mimi naelewa kuwa processor ina play its role kwenye perfomance, lakini hutowahi kunikuta hata siku moja nikisema "Android hakuna haja ya kuwa na powerful processor kwa kazi inazofanya" tatizo linakuja apa, unajisifia kuwa umekuja na 8Gb of rams 2017, leo 2019 simu ile haipati update?
 
Apple wamefanya kosa kwa kutosema ukweli kuwa wanapunguza perfomance speed kwenye new updates. Siamini kama alikuwa anafanya ivo ili kufanya watu wanunue toleo jipya. Maana kwa Apple tu, angeamua tu kama Samsung, baada ya 2 years hupati updates tena na watu wangeendelea kununua izo iphone.

Hoja yake Apple ina make sense, newer updates zinaathiri perfomance ya previous devices, ingawa mimi binafsi, hata sijanotice hio perfoamnce change (labda kwa sababu nimeacha matumizi mazito ya simu) lakini you cant deny it.

ingekuwa Apple wanataka ununue new device each year, trust me, wasingepunguza perfomance ya, wangeiacha tu ipige mzigo mpaka ikukere mwenyewe. Unafikiri ukiweka windows 10 kwenye computer la pentium 2 utatamani kukaa nayo? :D

Kuhusu Mpango wa Apple kuforce developers kutotengeza new updates for old devices, labda kuna ukweli nyuma ya pazia, lakini kama ilivyo Android, iOS pia ina another side of the story, kina Cydia na wenzao, lakini hata wao sasa ivi hawajishuhulishi na simu kama iphon 4. mimi ninachoona kuwa kinafanya haya kutokea, ni ile status ambayo imejengeka kwa watu na kwa madevelopers, kuwa Apple devices ni premium devices na wana expect users kuchange phones frequently. But i believe hii trend itakwisha na watakaokuwa safe ni wenye iphone X na kuendelea.
Mkuu unachotakiwa kuelewa Apple anapata Faida kwenye service, simu yoyote ambayo haiwezi kurun hizo service kwake anaipiga panga bila kujali kwako Ina maana au haina.

Kuifanya hai simu Kama iPhone 4 angeruhusu tu zirun version za zamani za hizo apps, Kuna games na app kibao version za zamani hio iPhone ingerun Tena offline bila kuathiri chochote Ila sababu unatakiwa ununue simu mpya ndio maana simu Kama hio imebaki kopo.

Angalia os zote mkuu Symbian, meego, Android, Java phones, Hadi os ambazo Ni closed Kama windows phone bado zinatumika, na angalau unaweza fanya Mambo kadhaa na simu yako.
 
S10 inavyo vitu vya maana kutoka kwa s8plus. Mfano new and more atractive diplay design. Fast processor and camera improvement.
Iphone 6s nafikiri hio ndio itakuwa OS yake ya mwisho kama ntakuwa sijakosea, kwaio ipo haja ya kununua iphone x ambayo bado ina more years to get updates. Wewe unanunua s10 kwa kitu gani kutoka 8plus?

Kununua new iphone each year ni choice ya mtu mwenye uwezo tu.
 
After 2yrs simu utaichoka na itakuwa imeshaanza kuwa slow ukicompare na current innovation in the market at that time.
Thamani ya kitu mkuu ni muhimu. Na naona Apple wanajua vyema kucheza na wateja wao. Mkuu simu ukinunua milioni 2 then after 2 years wanaacha kusupport sio powa kabisa. Si utataka kuiuza baada ya 2 years ununue latest one, so atleast upate kuuza kwa bei nzuri na yule unaemrithisha na yeye aendelee kuona hajapitwa na wakati.
 
Sasa hivi kwenye website ya apple iphone 8 ni $450 which is almost 1M ukiweka na kodi inakuja hadi 1.5M.

S8 bei ni 800K hadi 900K.

S9 bei ni 1M hadi 1.2M.

Zunguka kwa hawa wanaouza iphone na samsung uangalie utofauti wa bei.

Unabisha na hili?
kwan ni lini samsung amewahi izidi apple kwa bei??
 
Walipenda waweke kwenye simu zao sema waliitilafiana na qualcomn kwenye masuala ya modem qualcomn akagoma kumuuzia hzo modem ambazo ndo zina support 5G ikabid wanunue modem kwa intel ambazo hazina support ya 5G bado.hayo mengine ni maneno tu.
Asante. Umeelewa hoja yangu ya kuona 5G kwenye simu bado ni gimmick.

Ukitaka uone matunda ya 5G subiri labda miaka mitano au sita mbeleni.

Atleast carriers watakuwa wameweka cells za kutosha kwenye baadhi ya miji mikubwa.

Nipo Dar bado nasumbuka na 4G ya tigo hiyo 5G itafanikiwa lini?

Hata wale reviewers wakubwa wakitaka kutest performance ya 5G inabidi wasafiri kwenda kwenye miji ambayo tayari cells za 5G zimeshawekwa.

Siwalaumu apple kutotoa 5G device mwaka huu, we should wait atleast for 3 to 4 years kuona the real performance ya 5G.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom