Habari wadau wa gadgets...
Wale wapenzi wa iPhones siku mbili zijazo apple watazindua iphone 11. Simu hii inasemekana itavunja rekodi ya smartphone zote ktk kila nyanja.
Karibuni hapa tuisubiri na tuichambue kwa kina.
View attachment 1201601
Boss hebu iweke hii mada kitaalamu. Sio kuleta umbea
Apple wenyewe wapo confident maana for the first time wataionesha live YouTube.Kwa mujibu wa mitandao hasa Cnet na techradar, wanadai itavunja rekodi ktk nyanja nyingi hasa camera!
Kitaalam inapaswa iweje mkuu?
Maskini bhana. Hata mawazo yake yatajiandika tu.Wanazingua tu. Hawana jipya.
Apple wenyewe wapo confident maana for the first time wataionesha live YouTube.
Sema hao kina cnet Ni wazee wa kutumika Ni nadra kuwakuta wakilisema vibaya tunda.
Tusubiri tuone.
Labla betry itakaa na charg week 24/7 ukiwa internet...Record gani mkuu? Resolution, processor, quality ya display, ram, storage, ama Nini?
Mkuu wewe na pixel tu tangu mda kuhus camera...we ni wakala wao nnHakuna sim iliyokua vizur kweny nyanja zote...hapo kweny camera tu wakasome kwa pixels
Huu sasa ni Udaku….Habari wadau wa gadgets...
Wale wapenzi wa iPhones siku mbili zijazo apple watazindua iphone 11. Simu hii inasemekana itavunja rekodi ya smartphone zote ktk kila nyanja.
Karibuni hapa tuisubiri na tuichambue kwa kina.
View attachment 1201601