Iphon XR ipo sokoni Dar es Salaam

Jan 8, 2015
23
8
Sim bado mpya

Haina mchubuko wowote

Battery healthy 91%

128gb

Price 800,000/= cach

Location DSM

Contact 0625825641

16213353634880.3047277991504318.jpg


16213354290840.6720230793098991.jpg
 
Bado unatumia I Phone na Samsung

Mtu smart alishaacha kutumia hayo makopo kuna simu nzuri na kali za kisasa siyo hayo makopo

Mkuu unanua kitu kwa kufuata Brand name au unafuata ubora na Teknolojia

Kwa ubora na teknolojia hizo I phone na Samsung ni makopo
Mmmh hizi kauli..
'kujenga ni uoga wa maisha'..
'gari inaleta umaskini'..
'mtumba imara sana '.. hehehee
 
Bado unatumia I Phone na Samsung

Mtu smart alishaacha kutumia hayo makopo kuna simu nzuri na kali za kisasa siyo hayo makopo

Mkuu unanua kitu kwa kufuata Brand name au unafuata ubora na Teknolojia

Kwa ubora na teknolojia hizo I phone na Samsung ni makopo
Kazi unayo
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom