Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,316
33,125
Ipe neno picha ya leo

TOTO TUNDU.jpg
 
Hii picha kama siyo shuleni lakini ni mazingira fulani ya karibu na shuleni...

Ukichunguza vizuri inahuzunisha sana lakini inachekesha pia

Dogo anadondosha chozi haamini kilichompata halafu akiangalia mbele yake kuna bonge la shoka (anawaza sijui ni kwajili ya kukata mti au shingo)

Wenzake nao wamesitisha hata kwenda nyumbani/shuleni wanashuhudia mwenzao anavyohangaika na kulia

Kinachochekesha ni hilo shoka na usimamaji wa hao watoto pamoja na mwonekano wao kama wanafunzi

Yaani madogo wameduwaa mpaka wanakanyagana wengine bila hata kugundua na wamepauka balaa halafu kuna anayeonekana kabisa hapo kuwa yeye ndiye kamsababishia mwenzake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom