Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
''Mi huwa naogopa kulala mwenyewe''
......Upo? Nilikuwa nakutafuta kwenye ule uzi wa ngoma
Upi?Upo? Nilikuwa nakutafuta kwenye ule uzi wa ngoma
Kweli hujauona?Upi?
Kweli hujauona?
Hahaha, aisee niliuona nikapuuza nikapita zangu kucheck nyuzi zingine kumbe ule una mambo mazito yakheeKweli hujauona?
Khaa eti chai, au unajipa moyo kwa vile una hofuHahaha, aisee niliuona nikapuuza nikapita zangu kucheck nyuzi zingine kumbe ule una mambo mazito yakhee
Ila pale Hamna kitu...CHAI kama chai zingine tu.
Trust me
Ile ni chaiKhaa eti chai, au unajipa moyo kwa vile una hofu