Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,080
Ewe njiwa ewe njiwa! Peleka salam
Baada ya kuona picha ya huu uzi yakanijia maneno uliyoyaandika na nikasema ntayaandika kuipa picha maneno....
Nashuka chini nakuta ushayaweka hapa, basi naomba kunukuu tuu...
Labda niongezee kidogo....
Kwa yuule kwa yuuleee......
Muembe wangu wa uani....
Sheikh Mbaga ni babako?Njiwa wangu kafikaje huko?
Huyo ni mfanyakazi wa shirika la kusafirisha vifurushi kwa njia ya anga kwenye kaliba yetu ile
Yes with intended directions it can do in a very perfect wayBut question is how this bird can handles that (....) and go straight to the targets
.?
Ewe njiwa ewe njiwa! Peleka salam