Ipe neno picha ya leo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,299
33,080
UCHAWI WA NJIWA.jpg
 
Baada ya kuona picha ya huu uzi yakanijia maneno uliyoyaandika na nikasema ntayaandika kuipa picha maneno....

Nashuka chini nakuta ushayaweka hapa, basi naomba kunukuu tuu...

Labda niongezee kidogo....

Kwa yuule kwa yuuleee......

Muembe wangu wa uani....

Sawa Kocha!

Basi kama ni hivyo,
leeeeo ni leoooo ooo x2
mtauona mpambano,
kweli si uongoooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom