HAROOOO.....hivi nyie kila siku tunatangaza kupanda pikipiki kwa aina hii ya mshikaki ni hatari kwa nini hamsikii tena AROO ni hatari zaidi maaNA hamna hata mahelmeti....hivi MUNATAKA TUONGEREE KUTOKA WAPI.....haya shukA haRAka.........twende kituoni.........
Onyesha kadi ya pikipiki ooopssy!... abiria mbona hawajavaa helmet?..na huyu kuku.... halafu umezidisha abiria..una makosa kama kumi na mbili mpaka sasa hivi..unasemaje?
Aroo! najua unaerewa umeshafunja sheria..kosa ra kwanza kupakia abiria kwa mutindo wa mushikaki, kosa ra piri wote hamkuvaa yare mabakuri kichwani..Sasa kwa usarama wako nipe hao kuku wote na upotee hapa haraka.
kwanini mnavunja sheria nyie madereva na abiria?
nyie abiria kila kukicha mnalalamika madereva eti ni wazembe kumbe nyie ndio mnawadekeza,kwanini mmepanda ivi mishkaki?na hamna helmeti??tena mmebeba na muzigo huo?
apa hakuna msamaha,isije kuwa muro anapiga picha hamfai kabisa nyie!
aya dereva twende kituoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.