Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,385
kweli kijana..hata mimi nilishtuka baada ya kuona picha ya huyu mzee..sijui umri wa kustaafu ni miaka mingapiMtakatifu naona picha ya mzee hapo anayestahili astaafu ila bado anapewa majukumu mazito kama ya Tume ya Uchaguzi
kweli kijana..hata mimi nilishtuka baada ya kuona picha ya huyu mzee..sijui umri wa kustaafu ni miaka mingapi
Mbona picha haina caption? hao ni kina nani?
Mwenyekiti Mpya wa Tume ya Uchaguzi na JK na Familia ya huyo mwenyekiti ina maana hapo ni mke na mtoto wa mwenyekiti
Asante sana mkuu, ukiweza tupe na majina ya mke na mtoto ili habari picha ikamilike :A S 465:
ya nini wewe?