ila mimi nadhani wazungu hawana sehemu ya kuzitupia hizo nguo ndio maana wameigeuza africa kuwa an indirect-dampo la vitu walivyovichoka au wanavyoviona havina quality ya kiwango kinachostaili
(my idea)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.