Ipad au Simu zinazouzwa mtandaoni utaona hivi, CARRIER: Verizon, AT&T, Unlocked; zina tofauti gani?

Soki

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
1,303
279
Zina maana gani?

na je ni ipi inayofaa kwa hapa Tanzania?

Je hizo carriers hubadilisha bei ya simu/ipad?

Asanteni kwa ufafanuzi!
 
ukiona ume ambia LOCKED ujue haikubali sim card yeyote ile isipokuwa ya ule mtandao ulie ilock, ukiona unlocked ujue ilikuwa locked alafu ikafunguliwa kukubali mitandao mingine,
ukiona imeandikwa sim free ujue sio locked kwanzia mwanzo(tangu simu itoke kiwandani)

na mara nyingi simu zinazo dhibiti mitandao mingini zina kuwa za offer,utakuta sim ya locked ni zaidi asilimia 50 rahisi kuliko ilie fungwa,lkn kuna inategemeana na offer za nyewe.

mfano unaweza ukanunua sim AT&T kwa dola mia mara ya kwanza na ukawa unalipa dola labda 10 kila mwezi kwa mwaka mzima.na ukawa unapewa vifurushi vya internet,msg,na dakika za bure kila mwezi.mwisho wa siku ukawa umenunua simu na offer za kibao kwa bei yakuridgisha kwa mteja.


lkn mambo haya bado siku yaona tz.
 
ukiona ume ambia LOCKED ujue haikubali sim card yeyote ile isipokuwa ya ule mtandao ulie ilock, ukiona unlocked ujue ilikuwa locked alafu ikafunguliwa kukubali mitandao mingine,
ukiona imeandikwa sim free ujue sio locked kwanzia mwanzo(tangu simu itoke kiwandani)

na mara nyingi simu zinazo dhibiti mitandao mingini zina kuwa za offer,utakuta sim ya locked ni zaidi asilimia 50 rahisi kuliko ilie fungwa,lkn kuna inategemeana na offer za nyewe.

mfano unaweza ukanunua sim AT&T kwa dola mia mara ya kwanza na ukawa unalipa dola labda 10 kila mwezi kwa mwaka mzima.na ukawa unapewa vifurushi vya internet,msg,na dakika za bure kila mwezi.mwisho wa siku ukawa umenunua simu na offer za kibao kwa bei yakuridgisha kwa mteja.


lkn mambo haya bado siku yaona tz.

Nothing to ADD
 
ukiona ume ambia LOCKED ujue haikubali sim card yeyote ile isipokuwa ya ule mtandao ulie ilock, ukiona unlocked ujue ilikuwa locked alafu ikafunguliwa kukubali mitandao mingine,
ukiona imeandikwa sim free ujue sio locked kwanzia mwanzo(tangu simu itoke kiwandani)

na mara nyingi simu zinazo dhibiti mitandao mingini zina kuwa za offer,utakuta sim ya locked ni zaidi asilimia 50 rahisi kuliko ilie fungwa,lkn kuna inategemeana na offer za nyewe.

mfano unaweza ukanunua sim AT&T kwa dola mia mara ya kwanza na ukawa unalipa dola labda 10 kila mwezi kwa mwaka mzima.na ukawa unapewa vifurushi vya internet,msg,na dakika za bure kila mwezi.mwisho wa siku ukawa umenunua simu na offer za kibao kwa bei yakuridgisha kwa mteja.


lkn mambo haya bado siku yaona tz.

Yapo si ndo post paid? Toka 2007 yapo.
 
na mara nyingi simu zinazo dhibiti mitandao mingini zina kuwa za offer,utakuta sim ya locked ni zaidi asilimia 50 rahisi kuliko ilie fungwa,lkn kuna inategemeana na offer za nyewe.

nadhani hapa ulimaanisha .... kuliko zilizofunguliwa... au?
 
Kwa hiyo nikinunua online simu au ipad ya Verizon au AT&T, kwa ajili ya kutumia hapa Tanzania itakuwaje?
 
Nami nafuatilia thread hii ili nijue vzr tafadhali wakuu njooni twawasubiri.
 
GSRM system nadhani, na ziwe unlocked ... lazima zitumie sim card (Sprint hawatumii sim cards).
Huwezi kuamini ila bongo T-mobile sidekicks zinauza sana! (Deal).
 
nadhani hapa ulimaanisha .... kuliko zilizofunguliwa... au?

sry kwa kuwaacha njia panda,sim za offer (zilizo locked) zina kuwa bei rahisi sana kuliko za sim free.mfano mzuri sim ya s3 Samsung utakuta sim free ni dola 660 lkn locked utapata kwa dola 200.lkn kuna vigezo na masharti yao kuwa utalipa labda dola 20 kil mwezi mwaka mzima.na utapewa vifurushi vya net,msg na calls bure kila mwezi. mwisho wa SIKU umenunua sim kwa bei ndogo na hizo dola ishirini haziwezi kuumiza kwasbb unapewa vufurushi kibao.
 
Kwa hiyo nikinunua online simu au ipad ya Verizon au AT&T, kwa ajili ya kutumia hapa Tanzania itakuwaje?

labda nunua zilizo kuwa unlocked utazitumia kwa raha mustarehe.lkn za locked utakuwa umefungiwa mbuzi kwenye gunia.
 
Nimemwona mtu ana simu aina ya Blackberry ya Verizon na anaitumia hapa tz! Sasa sijui imekuwaje hapo
 
Nimemwona mtu ana simu aina ya Blackberry ya Verizon na anaitumia hapa tz! Sasa sijui imekuwaje hapo

kuta hiyo sim ilikuwa locked kisha ikafunguliwa.mafundi sim wengi wanaweza lkn pesa haiwi chini ya 50000
 
Back
Top Bottom