Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Keep your friends close, but your enemies closer. - Michael Corleone
Read full article @ http://www.dailytech.com/IOS+Hacker+Comex+Hired+as+Apple+Intern/article22551.htm
Angalizo
He is just 19 yrs, an age ambayo kwa elimu yetu ya bongo ndio umemaliza form four au uko form five katika umri huo kama kuna mtu anajua kompyuta sana sana ni MS word, powerpoint na MS access. kama mlisoma yule dogo wa Lulzsec aliyekuwa ana hack FBI na CIA na Sony naye alikuwa na miaka 18 tu.
fundisho kwa mfumo wetu wa elimu tanzania
Wenzetu sio kwamba wana akili sana bali wana specilaize mapema kwenye elimu zao. Inawezekana ukimuuliza huyo dogo mambo geography au chemistry au biology hajui . Yeye toka mapema alimua kuomaa na mambo fulani specific. Sisi tunajua kidogo kidogo ila kitu
Mwisho wa siku tunajikuta tuna Idea na mambo mengi sana lakini hatukijui kitu chochote Kiundani na kikamilifu.