lutemi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 1,743
- 1,379
Nimekaa nikatafakari sana upepo wa siasa unaendelea sasa.
Nimeona niwashauri kidogo wanasiasa.
1. Kuna kitabu fulani cha Dhehebu fulani moja ya msingi wake wanasema kuna invisible church yaani kanisa lisiloonekana hili ni kanisa ambalo huwa ndani ya imani fulani ili kuzuia maasi. Mfano unaweza kuona makasisi wasomi ni masheikh ambao wamechukua vyeo vikubwa kabisa misikitini na katika eneo nyeti la uongoz wa misikiti na wanakuwa mstari wa mbele kabisa kuhamasisha juu ya dini hiyo lakini kiuhalisia sio wa dini hiyo na husaidia ku compromise imani watu wasiwe rigidly na kuishi maisha ya kupendana na kujaliana hoja kubwa ni kuwa hawa watu hutoa siri zote makao makuu ya dhehebu lao kwa siri.
2. Kwa hali ya siasa tuliyo nayo inapaswa kwanza kukubaliana na upepo wa sasa kwasababu ni ngumu kuubadili lakini mnapaswa kufikiri siasa zipi ziendane na wakati mlio nao badala ya kulia lia .
3.invisible part ni chama ambacho kinaweza kuwa kama praise part lakini kuchorq mwenendo na ku come up with extensively results how to overcome na ushindi.
4. Unaposikia sayansi ya siasa ni kufikiri kulingana na upepo uliopo .
Leo tunapoona makanisa yanatolewa waabudu waislamu huko America na mwisho unaona kabisa kubwa linajengwa uarabuni na kiongoz mkubwa wa dini ya kikristo anahudhuria na watu wengi wanakwenda kumlaki lazima ujihoji mtu aliyepikwa vizuri kwenye dini yake anashikaje msalaba na kwenda kumshangilia mtu wa dini nyingine? Hii inasound kwamba kumbe there is a church invisibility without the system knowing.
Kama vyama vitaacha kulia lia na kutengeneza system hizo results itawastua sana watawala maana wataona namna vyama vya upinzani vitakapo inuka na ushindi.
Nawaza tu lakini
Nimeona niwashauri kidogo wanasiasa.
1. Kuna kitabu fulani cha Dhehebu fulani moja ya msingi wake wanasema kuna invisible church yaani kanisa lisiloonekana hili ni kanisa ambalo huwa ndani ya imani fulani ili kuzuia maasi. Mfano unaweza kuona makasisi wasomi ni masheikh ambao wamechukua vyeo vikubwa kabisa misikitini na katika eneo nyeti la uongoz wa misikiti na wanakuwa mstari wa mbele kabisa kuhamasisha juu ya dini hiyo lakini kiuhalisia sio wa dini hiyo na husaidia ku compromise imani watu wasiwe rigidly na kuishi maisha ya kupendana na kujaliana hoja kubwa ni kuwa hawa watu hutoa siri zote makao makuu ya dhehebu lao kwa siri.
2. Kwa hali ya siasa tuliyo nayo inapaswa kwanza kukubaliana na upepo wa sasa kwasababu ni ngumu kuubadili lakini mnapaswa kufikiri siasa zipi ziendane na wakati mlio nao badala ya kulia lia .
3.invisible part ni chama ambacho kinaweza kuwa kama praise part lakini kuchorq mwenendo na ku come up with extensively results how to overcome na ushindi.
4. Unaposikia sayansi ya siasa ni kufikiri kulingana na upepo uliopo .
Leo tunapoona makanisa yanatolewa waabudu waislamu huko America na mwisho unaona kabisa kubwa linajengwa uarabuni na kiongoz mkubwa wa dini ya kikristo anahudhuria na watu wengi wanakwenda kumlaki lazima ujihoji mtu aliyepikwa vizuri kwenye dini yake anashikaje msalaba na kwenda kumshangilia mtu wa dini nyingine? Hii inasound kwamba kumbe there is a church invisibility without the system knowing.
Kama vyama vitaacha kulia lia na kutengeneza system hizo results itawastua sana watawala maana wataona namna vyama vya upinzani vitakapo inuka na ushindi.
Nawaza tu lakini