Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Mkuu ulituahidi kuwa utarudisha chat room alhamis.....nilikumbuka lakini nikajua utakua unamalizia malizia kuirekebisha.....na pia shughuli za uchaguzi zimepungua kidogo.....na week end ndio hii lazima tuwasiliane kupitia chat rum.....pleeeeeez :couch2: