Investors: Nairobi slowly taking Johannesburg's place as Sub Saharan Africa's first choice for HQs

Fara babaako, na una bahati sina pctr za kibera na etc. You'll be having the tallest building and the largest slum in Africa. The slum dwellers all over nairobae will be viewing their tallest tower from their mud and wood made windows, and they'll feel proud.
Babake amefanya nn sasa??

Smh!!

Stop being petty babake ndie amepost hyo comment...

Wewe mtoto nn?
 
Kama 92 ya dar ( 92 ya dar ni zaidi ya Nairobi nzima) ni slum bhasi dar ingekuwa na largest slum in the world ... Sasa mbona dar haina Hiyo fame kuliko Nairobi ????...

Can you explain more bout this
There is sumthing wrong with your logic here. Inawezekana mji kuwa na slums nyingi tu, lakini ndogo ndogo, ilhali kuna miji (kama Nairobi), slums chache lakini mikubwa na yenye wakazi wengi.

Tazama miji kama Capetown na Lagos. Lagos iko na slums nyingi sana, lakini hamna hata moja imeorodheshwa kuwa ni kubwa kushinda ile slum ya Khaelitsha jijini C.Town, ambalo sijui ndio ya pili baada ya Kibera.

Kampala haina slum kubwa kushinda Kibera, lakini mimi naona iko na slums nyingi kila mahali kuliko makazi ya hadhi kama Nairobi.
 
There is sumthing wrong with your logic here. Inawezekana mji kuwa na slums nyingi tu, lakini ndogo ndogo, ilhali kuna miji (kama Nairobi), slums chache lakini mikubwa na yenye wakazi wengi.

Tazama miji kama Capetown na Lagos. Lagos iko na slums nyingi sana, lakini hamna hata moja imeorodheshwa kuwa ni kubwa kushinda ile slum ya Khaelitsha jijini C.Town, ambalo sijui ndio ya pili baada ya Kibera.

Kampala haina slum kubwa kushinda Kibera, lakini mimi naona iko na slums nyingi kila mahali kuliko makazi ya hadhi kama Nairobi.
Cant get clear than this! weka kiswahili for Ichoboy01 na wenzake wa Dar diehards.,
 
(CNN)-The mighty peaks of Kilimanjaro and Kenya are the highest points in Africa, towering over the East Coast nations.
The mountains will soon be sharing a skyline with a man-made behemoth named simply: "The Pinnacle."
Kenyan President Uhuru Kenyatta recently laid the foundation stone for what will be the tallest building in Africa in the Upper Hill neighborhood of Nairobi. Construction is underway at the development site, and slated for completion by December 2019.
The ambitious project will see twin glass-facade towers rise above the city, the larger standing at 300 meters tall, far surpassing the continent's current leader -- Johannesburg's 223-meter Carlton Centre.
As The Pinnacle, Africa's tallest skyscraper rises to meet its December 2019 completion date, international investors are slowly moving their headquarters to Nairobi. "We're seeing global corporations that traditionally run Sub-Saharan Africa from Johannesburg putting regional headquarters into Nairobi...and that's a story I expect to hear more and more," he says. "An ambitious project like Pinnacle is ideal for maintaining that interest, and by the time the project comes to fruition Nairobi could be a very different place."
Hilton executives are also bullish, noting in a statement that the Upper Hill area is now home to offices of major international businesses and organizations including Cisco Systems and the World Bank.
Kenya's economy has performed steadily in recent years, with healthy GDP growth of 5.9% in 2016 according to the World Bank. A thriving property market has underpinned this growth, particularly in Nairobi. But there are indications of a slowdown that could affect a luxury development such as Pinnacle.
160824161311-carlton-center-exlarge-169.jpg


The 223-meter Carlton Center in Johannesburg, South Africa, will lose its place as the continent's tallest building.
Yes. Nairobi is the best city in the world, happy to hear that????
 
There is sumthing wrong with your logic here. Inawezekana mji kuwa na slums nyingi tu, lakini ndogo ndogo, ilhali kuna miji (kama Nairobi), slums chache lakini mikubwa na yenye wakazi wengi.

Tazama miji kama Capetown na Lagos. Lagos iko na slums nyingi sana, lakini hamna hata moja imeorodheshwa kuwa ni kubwa kushinda ile slum ya Khaelitsha jijini C.Town, ambalo sijui ndio ya pili baada ya Kibera.

Kampala haina slum kubwa kushinda Kibera, lakini mimi naona iko na slums nyingi kila mahali kuliko makazi ya hadhi kama Nairobi.
Do you even know what 92 percent stands for brother ... its above an average meaning its something that is observable .... huwezi kuniambia mji uliopo na 92% slum ukawa una slums ndogondogo wakati areas zilizopo poa ni 8 percent ..yaani how on earth can 8 % dissolve 92% hadi isiwe observable ?????.....
How is that even possible , hebu niambie zaidi
 
Cant get clear than this! weka kiswahili for Ichoboy01 na wenzake wa Dar diehards.,
Akili za kuambiwa uwe unachanganya na zako ... sio unakurupuka tu na kudandia train kwa mbele ..huwezi kujua unapokwenda
 
Do you even know what 92 percent stands for brother ... its above an average meaning its something that is observable .... huwezi kuniambia mji uliopo na 92% slum ukawa una slums ndogondogo wakati areas zilizopo poa ni 8 percent ..yaani how on earth can 8 % dissolve 92% hadi isiwe observable ?????.....
How is that even possible , hebu niambie zaidi
Is this not 92% then yenye imebaki ni cbd
4b01ac611516c4feb31a372d035ce278.jpg
 
Yes. Nairobi is the best city in the world, happy to hear that????
now that was not so difficult to admit...was it? well, Nairobi may not be the best in the world, but one thing I'm sure, it is way better than ur dirty slum villade...dar is slum..:D:D:D.Tallest building in Africa soma lebo...ur backward village can only dream of that in 100 years...
 
Is this not 92% then yenye imebaki ni cbd
4b01ac611516c4feb31a372d035ce278.jpg
Dahhhhh im tired of explaining bout this all the time .. kwa hiyo iyo high oblique view ndo imejustify kuwa hiyo ni 92 % ...
nikuambie tu hiyo unayoiona ni slum .mtu yeyote mstaarabu anaweza kuishi maana inayooneshwa hapo ni poor urban planning lakini ukiweka hizo picha zenu yaani hata kama ni aerial view ,hata mtoto mdogo atajua kuwa hiyo sio sehemu salama ya kuishi

By the way dar is more than what ur filthy pic is depecting ... hujawahi kufika dar kabisaa hivyo, jiandae kwa safari utalii mwenyewe na sio kusubiri maneno ya jf ili upate kuchangia
 
Dahhhhh im tired of explaining bout this all the time .. kwa hiyo iyo high oblique view ndo imejustify kuwa hiyo ni 92 % ...
nikuambie tu hiyo unayoiona ni slum .mtu yeyote mstaarabu anaweza kuishi maana inayooneshwa hapo ni poor urban planning lakini ukiweka hizo picha zenu yaani hata kama ni aerial view ,hata mtoto mdogo atajua kuwa hiyo sio sehemu salama ya kuishi

By the way dar is more than what ur filthy pic is depecting ... hujawahi kufika dar kabisaa hivyo, jiandae kwa safari utalii mwenyewe na sio kusubiri maneno ya jf ili upate kuchangia
Unplanned settlements = slums
 
Dahhhhh im tired of explaining bout this all the time .. kwa hiyo iyo high oblique view ndo imejustify kuwa hiyo ni 92 % ...
nikuambie tu hiyo unayoiona ni slum .mtu yeyote mstaarabu anaweza kuishi maana inayooneshwa hapo ni poor urban planning lakini ukiweka hizo picha zenu yaani hata kama ni aerial view ,hata mtoto mdogo atajua kuwa hiyo sio sehemu salama ya kuishi

By the way dar is more than what ur filthy pic is depecting ... hujawahi kufika dar kabisaa hivyo, jiandae kwa safari utalii mwenyewe na sio kusubiri maneno ya jf ili upate kuchangia
Ndugu yangu achana na hao viumbe wakenya, kwani ni nani hajui tabia zao za kujiona na kudharau wengine? Wanafahamika hata pale AU Addis. Achana nao wasikupotezee muda. Hapa AU huwa tunawapiga kimya kimya tu kwa Soviet style
 
now that was not so difficult to admit...was it? well, Nairobi may not be the best in the world, but one thing I'm sure, it is way better than ur dirty slum villade...dar is slum..:D:D:D.Tallest building in Africa soma lebo...ur backward village can only dream of that in 100 years...
Asante.
 
Back
Top Bottom