Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

Dec 28, 2020
42
28
Habari wakuu, Natumai kila mmoja wetu yuko vizuri na tunaendelea kupambana katika ulimwengu wa biashara na ujasiriamali. Mada ya Leo inahusu kitu ambacho kina mchango mkubwa sana katika kuikuza biashara yako mwaka huu 2021. Haijalishi wewe ni mfanyabiashara mdogo, unauzia Insta tu au ni mfanyabiashara mkubwa unayemiliki kampuni kabisa.

Ni kitu ambacho wengi wanakitamka, wanakiskia, wengine wanatamani kujifunza kabisa. Lakini kubwa zaidi ni kuwa kila mtu anakifanya (either kwa kufahamu au kutofahamu). Kitu hicho sio kingine bali ni DIGITAL MARKETING. Yes, Digital marketing.

Kama wewe ni mfanyabiashara na umekuwa ukitafuta wateja online,basi unafanya digital marketing lakini Digital marketing ni kitu kikubwa, ina uwanja mpana sana, na kuna vitu vingi unapaswa kufahamu kama kweli unatamani kupata mafanikio ktk efforts zako za digital marketing.

(Yes, kufanya kitu pekee haitoshi kuleta mafanikio, lazima uwe na mbinu za ushindi). Ndio maana leo hii tumewaletea mada hii. (Intro, zingine zitakuja),...

Lengo ni kuweza kukupatia mwanga na competitive advantage ktk biashara yako (dhidi ya washindani wako) ili hatimaye uweze kufanikiwa ktk digital marketing efforts zako na uweze kupata wateja zaidi + business growth.

TWENDE PAMOJA SASA

DIGITAL MARKETING ni nini??

Digital marketing kwa lugha nyepesi kabisa ni kitendo cha kuitangaza biashara yako na kutafuta wateja wako kwa kutumia Online channels.

Unaweza kuiita Online Marketing pia, yaani unafanya marketing lakini kwa kutumia Online channels kama vile social medias, Websites, Email etc. ...

Na sio zile traditional ways of marketing kama vile Radio, TV, billboards na print marketing like mabango, business cards, flyers etc

Na hapo ndipo mada ya Leo ilipo, tutaenda kufahamu kitu wanaita DIGITAL MARKETING TRIFECTA.

Yaani vitu 3 ambavyo vinajenga Digital Marketing na unaweza kuwekeza katika moja wapo ya hivyo.. Au zaidi na ukafanikiwa ktk marketing ya biashara/kampuni yako.

Vitu hivyo ni SOCIAL MEDIA, WEB and EMAIL. Hiyo ndio trifecta yenyewe ya digital marketing.

Tuvione sasa kwa kiasi kidogo.

1. SOCIAL MEDIA
Hapa nadhani hakuna asiyetambua ukweli kwamba wateja wake wapo online na wanatumia social media.

Swali linabaki jinsi ya kuwapata hao wateja, maana inaweza ikawa rahisi au isiwe rahisi kulingana na aina ya biashara unayofanya.

Ndio maana unapaswa kuwa na ufahamu wa ziada au team itakayokusaidia katika social media ili uweze kunasa wateja.

Na hapa utakutana na vitu 2, SOCIAL MEDIA MARKETING pamoja na SOCIAL MEDIA ADVERTISING.

Nimevitenganisha sababu kila kimoja kina principles zake, lasivyo unaweza kuwa unafungiwa account kutangaza mara kwa Mara (#disabled #restricted...usiombe ikukute).

We'll dive deep in each other kwenye posts zijazo.


2.WEBSITES (WEB)
Website ni msingi wa pili wa digital marketing and kama kweli uko serious about succeeding in digital marketing, lazima uwe na website.

Kwanini?... Kwa sababu website inakupa leverage Kubwa katika marketing efforts zako, sio tu kuwaonesha wateja kwamba you can be trusted.. Lakini unaweza ifanya ikupatie wateja vile vile kama utafahamu namna ya kuitumia vizuri.

(Kama unapenda kufahamu zaidi namna website inavyoweza kusaidia kukuza biashara yako.. Niambie ktk Reply hapo, nitaleta mada )

Katika msingi huu huu wa pili wa WEB katika digital marketing, tunaweza ongezea vitu vingine kama SEO (search engine optimisation), SEM (Search engine marketing) pamoja na Google Ads, even YouTube Ads can work wonders for your business

But watanzania wengi bado hawajachangamkia fursa.. Ndio maana YouTube tunakutana na matangazo ya wazungu tu mostly.

3.EMAIL
Last but not least, Email inaingia hapa kama msingi wa 3 wa digital marketing.

Email is not Dead, Email marketing and List building still works na ni kitu ambacho kiko underrated sana hapa kwetu.

Might not work for some B2C businesses, lakini kama unafanya B2B business, I'm sure wateja wako wanaopen emails (corporate workers),..

Hivyo unaweza tumia email marketing kama njia nzuri na ya bure kbs kujenga Brand yako, kudevelop relationship na kupata wateja zaidi na zaidi.

Nahiyo sasa ndiyo misingi ya Digital Marketing,

Ukiskia tena au kama unataka kujifunza digital marketing, basi anza kufikiria kufahamu vitu hivyo 3.

Na sio lazima ufahamu vyote au ufanye vyote, kulingana na ukubwa wa biashara yako unaweza kupima. Kama mainly uko ktk social media, Basi unakomaa na Social Media Marketing & Advertising

Lakini kama unamiliki kampuni, bila kupepesa macho ningekushauri uwekeze ktk vitu vyote hivyo 3.

Vikifanyika kwa weledi wake, lazima utapata Faida nzuri in-terms of kuongeza wateja, kukuza brand yako na biashara yako kwa ujumla.
 
Be blessed mkuu, digital marketing ni fursa ambayo wajanja wachache Tanzania wanafanya na inalipa sana siyo siri.

Wale wazee wa kujiajiri unaweza jifunza digital marketing na hutojuta aise.

Mambo yanaamia online, leo kukata tiketi za bus ni online, TRA, BRELA na mengine mengi ni online.

Waliosoma masomo ya utafutaji masoko jiongezeni mapema msije lia baadae digital marketing ikitawala.
 
Be blessed mkuu, digital marketing ni fursa ambayo wajanja wachache Tanzania wanafanya, na inalipa sana siyo siri.

Wale wazee wa kujiajiri unaweza jifunza digital marketing na hutojuta aise.

Mambo yanaamia online, leo kukata tiketi za bus ni online, TRA, BRELA na mengine mengi ni online.

Waliosoma masomo ya utafutaji masoko jiongezeni mapema msije lia baadae digital marketing ikitawala.
Big up chief.. Nice points from your reply, ni kweli ukiangalia digital marketing kwa upana wake ina opportunity kubwa

Na faida yake kwa wafanyabiashara watakaotake advantage mapema ni kubwa pia

Barriers zinazidi kuwa broken, ukiwa na digital marketing skills, you can effectively market your business all over

Na sio marketing pia, hata kuiscale ikawa kubwa.. With right digital strategies you can achieve that

Cheers to the future
 
Habari wakuu,

I hope kila mtu yuko vizuri na harakati za biashara na ujasiriamali zinaendelea kama kawaida.

Sisi kama Nyumbani Digital solutions tumejipanga kukusaidia wewe mfanyabiashara kuikuza biashara yako Online mwaka huu 2021.

Tutakuonesha namna unavyoweza kutumia Digital Technologies and Digital marketing kunasa wateja wengi zaidi, kujitangaza na kuibrand biashara yako ivutie zaidi.

Naomba Tuendelee na series hii ya mafunzo yetu, na leo tutaenda kugusia swala la zima la WEBSITES.

Nitaanza kwa kutumia assumptions 3

1.Kama unamiliki biashara au umesajili kampuni, bila shaka tayari unayo Website

2.Au kama huna bado, basi umekua ukifikiria kutengenezewa website kwa ajili ya kampuni yako.

3.Hapa naomba nisiwasahau wale ambao hawaoni ulazima wa kuwa na websites kwa biashara zao.

Either kwa kutokutambua faida za kumiliki website kama mfanyabiashara/kampuni

AU kwa kutojua exactly ni kwa namna gani website inaweza kufanya kazi ktk biashara yako,hivyo huhitaji kueleweshwa zaidi.

(..Hii mada ya website na faida zake kwa biashara/kampuni tutaiongelea Next lesson, ..usikose)

Baada ya kuweka assumptions zangu hizo,

Tuendelee na somo la Leo, ambalo litaenda kukufahamisha Aina 5 za websites.

Ni websites ambazo ni common zaidi, na wateja wengi wakija huwa wanatuulizia zaidi kuhusu aina hizi.

Na pia kwako wewe ukizifahamu, itakusaidia kufanya maamuzi sahihi litakapokuja swala la website.

Twende pamoja sasa

1. BUSINESS WEBSITE
Wengi wanapenda kuiita business website au Company website, ila sisi tunapenda kuiita "Marketing Website"

Kwanini??

Kwa sababu lengo lake sio kujaza tuu taarifa kuhusu biashara/kampuni yako,bali ni kukusaidia ktk marketing efforts zako.

Hivyo tunapotengeneza website kwa kampuni/biashara,tunaitengeneza kwa Jicho la marketing..

Ili Kuhakikisha kila kitu kinafanya kazi ya kuwashawishi visitors waweze kukuamini zaidi, kupata info zote muhimu na hatimaye kuwa wateja wako.

Business /company websites hutumika kuitambulisha zaidi biashara yako, kutoa taarifa zako muhimu na kuwasaidia wateja wako wakufahamu kiundani zaidi (kuliko social media)

Pia itakusaidia kujenga trust and credibility kwa wateja wako,.. Na kama uko ktk service industries kama Travel and Hotels, unaweza pokea bookings kabisa.


2. E-COMMERCE WEBSITES
Hii ni aina ya websites ambazo wengi tunazifahamu, japo hapa kwetu bado hakuna dominant e-commerce sites.

Hizi ni websites ambazo lengo kuu ni KUUZA BIDHAA online, mfano Amazon, eBay, Ali express, Kikuu etc

Nimetoa mifano ya sites kubwa kubwa, lakini huhitaji kuhudumia mamilioni ya watu ndo uwaze kumiliki e-commerce site.

Unachohitaji ni bidhaa, wateja na marketing basi.

Kama unaweza kuuza kupitia Instagram, ukitaka kuipeleka biashara yako Next level ni kumiliki e-commerce site yako.

Sio tu unaweza fikia watu wengi zaidi, bali watu hao wana chance kubwa ya kuwa wateja (mtu akivisit site, intentions za kununua ni kubwa kuliko akiwa ktk social media)

Kuna hawa jamaa wa KARIAKOO MALL, I don't know much about them ila nafikiri wanafanya vizuri ktk e-commerce.

So kama unatamani kuuza bidhaa online, ktk more official way than Instagram,na uuze hata kwa clients nje ya nchi, think about having an e-commerce website.


3. ORGANIZATIONS WEBSITES
Hapa utakutana na websites ambazo lengo lake la kwanza sio kutengeneza pesa(making a profit /money)

Ingawa money might be involved, ila lengo kuu la websites hizi ni kutoa taarifa kwa jamii juu ya shirika /taasisi husika.

Mfano websites za Non-profit organizations (NGO's), Websites za taasisi za kidini,Website za mashule,vyuo nk.

Katika kudesign website kama hizi, huwa sisi tunazingatia sana mpangilio wa taarifa (maana mostly ziko information heavy),

Ili kumsaidia mtembeleaji asichoke na pia aweze kupata taarifa anazohitaji kwa haraka.

4. MEDIA WEBSITES
Hapa tunaongelea websites ambazo kazi yake ya kwanza ni kutoa taarifa na kuihabarisha jamii.

Hapa utakutana na Websites za habari, Michezo,Gossip,entertainment nk

Websites zote zinazotoa taarifa hizo zinaingia ktk kundi hili la Media websites.

Mfano website ya Millard Ayo, nk

Ni websites ambazo zinaweza kukuingizia hela kupitia matangazo, kama utapata visitors wengi.


5. EDUCATIONAL WEBSITES
Hizi ni websites ambazo zinafocus katika kutoa elimu na kufundisha juu ya kitu fulani.

Zinaweza kubase ktk kufundisha kitu kimoja au kufundisha vitu vingi

Ni websites ambazo zinahitaji investment kubwa ,lakini pia zinaweza kuleta faida kubwa kama masomo yakiwa yanauzwa ktk mfumo wa kozi and pdfs.

Mifano ya sites kubwa kama hizi Ni Udemy, Skillshare na hapa kwetu naweza kuiweka shule direct.

Online Courses and E-learning is a billion Dollar Industry.

If unaweza kufundisha kitu fulani specific,unaweza kutengeneza profit nzuri tu kwa hapa kwetu.. Kwani bado soko hili halijachangamka.. Kila mtu anafundishia Whatsapp.

Sasa jiulize Whatsapp na Website, ni wapi unaweza fikia watu wengi, tena automatically, 24/7/365???

Utahitaji marketing nzuri tu, especially mwanzon ila ukishafahamika tu.. Basi.

And We are glad to help you ktk mchakato mzima kuanzia website mpaka Marketing.

Sasa Nipende kukupongeza kama tumefika wote mpaka hapa, na Imani umejifunza kitu.

Haya sasa, kama unahitaji website kwa ajili ya kampuni/biashara yako,..

Lakini bado unajiuliza maswali mengi kuanzia bei, website itakuwaje, Je, itakusaidia ktk marketing au utapoteza hela??

Usihangaike, Nyumbani Digital solutions, tuko hapa kukusaidia......Tunatoa FREE WEBSITE DESIGN CONSULTATION

Utapata majibu ya maswali yako yote, na utakuwa tayari kufanya maamuzi sahihi either uinvest ktk website au la

=>Tuwasiliane PM au 0752226475

=>Tuma text "Web Design"

We'll be Glad to hear from you.

--------------Tukutane ktk Somo lijalo---------

Wenye Maswali pia karibuni Apa Apa.. Utajibiwa

-------------------------------------------------------

Cc: Nyumbani Digital Solutions
Digital Marketing |Web Design |FB Ads

"Helping your business to grow digitally in 2021"










E-Commerce-Website.jpg
NYUMBANI-POST_01.jpg
 
Kama mimi nina kiduka cha reja reja hakuna bidhaa nyingi ..nitumie Njia gani kati ya hizo tatu? Maana kuna mchele,unga na soda tu basi..

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Bado unayo nafasi boss.

Mtandaoni kuna kila aina ya watu (uelewa mkubwa, wa kati na mdogo).

Hapo katika uelewa wa watu na biashara yako ni mada ya kisaikolojia ambayo ina mengi hasa katika marketing sitoielezea hapa.

Nji ya wewe kutumia ni social media (Instagram, Facebook na WhatsApp). Kumbuka usitumie nguvu nyingi ila unahitaji akili mingi.

Hapa usiwe na lengo la kupata wateja wa haraka na faida, hapa wewe kazi yako ni kujenga brand tu, yaani duka lako lijulikane.

Bidhaa zako za kutumia kama chambo siyo soda wala maji na vitu vidogovidogo, hapana.

Unga, mchele (sijajua kama una mahindi, maharage na vingine) ila nafaka hizo ndo ziwe CHAMBO na lazima uwe na marketing skills zitakazokusaidia katika kupost na kufanya matangazazo ya duka lako na bidhaa hizo.

Zingatia:

1. Ubora wa bidhaa. (Mchele wako uwe ni mzuri)

2. Bei ya bidhaa zako ziendane na uhalisia.

Nimekuonyesha tu ni kwamba Inawezekana hata kwa wewe mwenyewe duka la hivyo.

Kama utahitaji ushauri zaidi namna ya kufikia lengo mpaka uone matokeo na plan nzima mpaka kufanikisha hilo tunaweza wasiliana PM.

Digital marketing haichagui biashara ila uelewa wako ndiyo unaoamua.

Nina mpango wa kuwa consultant sijui kama nitatoboa ila nina imani.
 
Bado unayo nafasi boss.

Mtandaoni kuna kila aina ya watu (uelewa mkubwa, wa kati na mdogo).

Hapo katika uelewa wa watu na biashara yako ni mada ya kisaikolojia ambayo ina mengi hasa katika marketing sitoielezea hapa.

Nji ya wewe kutumia ni social media (Instagram, Facebook na WhatsApp). Kumbuka usitumie nguvu nyingi ila unahitaji akili mingi.

Hapa usiwe na lengo la kupata wateja wa haraka na faida, hapa wewe kazi yako ni kujenga brand tu, yaani duka lako lijulikane.

Bidhaa zako za kutumia kama chambo siyo soda wala maji na vitu vidogovidogo, hapana.

Unga, mchele (sijajua kama una mahindi, maharage na vingine) ila nafaka hizo ndo ziwe CHAMBO na lazima uwe na marketing skills zitakazokusaidia katika kupost na kufanya matangazazo ya duka lako na bidhaa hizo.

Zingatia:

1. Ubora wa bidhaa. (Mchele wako uwe ni mzuri)

2. Bei ya bidhaa zako ziendane na uhalisia.

Nimekuonyesha tu ni kwamba Inawezekana hata kwa wewe mwenyewe duka la hivyo.

Kama utahitaji ushauri zaidi namna ya kufikia lengo mpaka uone matokeo na plan nzima mpaka kufanikisha hilo tunaweza wasiliana PM.

Digital marketing haichagui biashara ila uelewa wako ndiyo unaoamua.

Nina mpango wa kuwa consultant sijui kama nitatoboa ila nina imani.
Boss umempa Jibu zuri sana,congratulations
 
Nafanya sponsored ads katika account ya instagram ambayo nimelink na page ya facebook matokeo ni mazuri, ila tunatakiwa tujifunze namna ya kuandaa contents za kumvutia mteja, tengeneza authority, jenga brand na uaminifu kwa wafuasi wako utauza sana
 
Nafanya sponsored ads katika account ya instagram ambayo nimelink na page ya facebook matokeo ni mazuri, ila tunatakiwa tujifunze namna ya kuandaa contents za kumvutia mteja, tengeneza authority, jenga brand na uaminifu kwa wafuasi wako utauza sana
Imekugharimu shingap
 
Nafanya sponsored ads katika account ya instagram ambayo nimelink na page ya facebook matokeo ni mazuri, ila tunatakiwa tujifunze namna ya kuandaa contents za kumvutia mteja, tengeneza authority, jenga brand na uaminifu kwa wafuasi wako utauza sana
Hii "kufanya sponsored" mara nyingi naona Instagram Instagram lakini sijajua namna naweza kufanikiwa. Kama kuna process na gharama yeyote please naomba nijue

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Bado unayo nafasi boss.

Mtandaoni kuna kila aina ya watu (uelewa mkubwa, wa kati na mdogo).

Hapo katika uelewa wa watu na biashara yako ni mada ya kisaikolojia ambayo ina mengi hasa katika marketing sitoielezea hapa.

Nji ya wewe kutumia ni social media (Instagram, Facebook na WhatsApp). Kumbuka usitumie nguvu nyingi ila unahitaji akili mingi.

Hapa usiwe na lengo la kupata wateja wa haraka na faida, hapa wewe kazi yako ni kujenga brand tu, yaani duka lako lijulikane.

Bidhaa zako za kutumia kama chambo siyo soda wala maji na vitu vidogovidogo, hapana.

Unga, mchele (sijajua kama una mahindi, maharage na vingine) ila nafaka hizo ndo ziwe CHAMBO na lazima uwe na marketing skills zitakazokusaidia katika kupost na kufanya matangazazo ya duka lako na bidhaa hizo.

Zingatia:

1. Ubora wa bidhaa. (Mchele wako uwe ni mzuri)

2. Bei ya bidhaa zako ziendane na uhalisia.

Nimekuonyesha tu ni kwamba Inawezekana hata kwa wewe mwenyewe duka la hivyo.

Kama utahitaji ushauri zaidi namna ya kufikia lengo mpaka uone matokeo na plan nzima mpaka kufanikisha hilo tunaweza wasiliana PM.

Digital marketing haichagui biashara ila uelewa wako ndiyo unaoamua.

Nina mpango wa kuwa consultant sijui kama nitatoboa ila nina imani.
Sawa mkuu nitakucheki PM, pia nashukuru sana.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom