Heshima zenu wakuu,
Namtambulisha Admin mpya; dada yetu Farida, natumaini mtampa ushirikiano wa karibu katika utendaji wake.
Ahsante
Heshima zenu wakuu,
Namtambulisha Admin mpya; dada yetu Farida, natumaini mtampa ushirikiano wa karibu katika utendaji wake.
Ahsante
---Da' Farida, karibu jamvini... i hope utaweza kujibu pm zangu zilizonyingi kwa mamods...
---Nami kama Kithuku, sitosema mengi. Niwaachie wenzangu waoshe vinywa vyao, naona wakina Mkjj walishaomba na namba za simu tayari. Penye urembo pana ulimbo - Mchongoma ameshataja hapo juu!
Karibu na Hongera kwa Majukumu Mapya Farida!
SteveD.
Karibu dada Farida!