Aisee nimependa maneno yaliyotumika kwenye hii comment yakoWewe jua kazi yako, usitake kuendekeza habari zenu za "kusoma ili kufaulu mtihani" mpaka kazini.
Kimsingi hapo unatafuta "feki" wakati dunia halisi haina "feki".
Swali lenyewe halijatoa maelezo ya kutosha kukusaidia hata kama mtu angekuwa anataka kukusaidia.
Unaomba kutafsiriwa ndoto wakati hata ndoto yenyewe huijui!