msemakwelii
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 216
- 47
Shirika maarufu la Uchina, HAINAN AIRLINE limeweka masharti kwamba mbali na elimu na uzoefu lazima usinuke. Ukiwa mwili wako una harufu mbaya basi kazi huna. Ni China huko.Kwa mujibu wa gazeti la SZ News shirika hilo katika kuajiri marubaNi wapya lazima mtu ananuswa makwapa.
Ukiwa unakikwapa, au makwapa yako yana harufu unanyimwa kazi.
Kabla ya kuajiriwa katika shirika hilo la ndege. Hatua ya kwanza ni kunuswa kwapa zako.
Wakuu wa shirika hilo wanajitetea wakisema, kwa vile marubani wanafanya kazi karibu zaidi na watu basi ni lazima wasiwe na harufu ya kutisha kwani harufu mbaya ya miili yao au makwapa Kwa wateja, Je hii ni sawa kweli na hapa kwetu Bongo ianzishwe kwenye ajira za Makondakta wa daladala
Elimu peke yake haitoshi kumpa mtu kazi.
Wanuswa kwapa kama mahojiano
Hata ujuzi pia hauna maana.
Huko ni China.
Shirika maarufu la Uchina, HAINAN AIRLINE limeweka masharti kwamba mbali na elimu na
Ukiwa unakikwapa, au makwapa yako yana harufu unanyimwa kazi.
Kabla ya kuajiriwa katika shirika hilo la ndege. Hatua ya kwanza ni kunuswa kwapa zako.
Wakuu wa shirika hilo wanajitetea wakisema, kwa vile marubani wanafanya kazi karibu zaidi na watu basi ni lazima wasiwe na harufu ya kutisha kwani harufu mbaya ya miili yao au makwapa Kwa wateja, Je hii ni sawa kweli na hapa kwetu Bongo ianzishwe kwenye ajira za Makondakta wa daladala
Elimu peke yake haitoshi kumpa mtu kazi.
Hata ujuzi pia hauna maana.
Huko ni China.
Shirika maarufu la Uchina, HAINAN AIRLINE limeweka masharti kwamba mbali na elimu na