barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Nilimpeleka jamaa yangu Msimbazi Centre kufanya usaili wa TPDC...ameingia alfajili kutoka Sengerema Mwanza,baada ya kumfikisha niluenda zangu job kwa makubaliano ya kumfuata akitoka ktk usaili.
Kumbe hawa jamaa walitoa shortlist mbili baada ya yakwanza kusema waliikosea na kupunguza majina kuanzia mia na kitu,ajabu jina la mshikaji lilikuwa kati ya moja na ishirini...Gazeti la majina ya pili hakuwa nalo,so alijua kaitwa,baada ya safari ya usiku mzima anafika anaambiwa jina lake halikutolewa ktk majina ya mara ya pili,hivyo hana nafasi ya kufanya usaili,akatoa gazeti akawapa na kuwaonyesha jina,wakamkatalia wakasema wao wanajua shortlist ya pili na si ya kwanza.
Kwa kweli kuna vitu ktk maisha ni mtihani,umbali mrefu wa Sengerema to Dar,kulala Moro na kuamka alfajiri kuja Dar lkn no usaili..Kwa kweli hizi ajira ni majanga.
Kumbe hawa jamaa walitoa shortlist mbili baada ya yakwanza kusema waliikosea na kupunguza majina kuanzia mia na kitu,ajabu jina la mshikaji lilikuwa kati ya moja na ishirini...Gazeti la majina ya pili hakuwa nalo,so alijua kaitwa,baada ya safari ya usiku mzima anafika anaambiwa jina lake halikutolewa ktk majina ya mara ya pili,hivyo hana nafasi ya kufanya usaili,akatoa gazeti akawapa na kuwaonyesha jina,wakamkatalia wakasema wao wanajua shortlist ya pili na si ya kwanza.
Kwa kweli kuna vitu ktk maisha ni mtihani,umbali mrefu wa Sengerema to Dar,kulala Moro na kuamka alfajiri kuja Dar lkn no usaili..Kwa kweli hizi ajira ni majanga.