AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Mkuu hio post yako naishukuru kwa majibu yako. Niwe wazi kuwa nitaisoma kesho na kujibu pindi pale ambapo tutaendeleza mjadala huu na kumalizia kipengele cha pili cha swali # 7.
Naomba ruhusa niweze pumzika mjadala ufungwe hadi hapo kesho tena tutapopata muda unaowiana kama ilivokuwa leo. Natanguliza shukrani kwa majibu na ushiriki wako katika mahojiano haya. Naomba nikutakie mapumziko mema.
Pamoja Saana.
Naomba ruhusa niweze pumzika mjadala ufungwe hadi hapo kesho tena tutapopata muda unaowiana kama ilivokuwa leo. Natanguliza shukrani kwa majibu na ushiriki wako katika mahojiano haya. Naomba nikutakie mapumziko mema.
Pamoja Saana.