JamiiForums
Official JF Response
- Nov 9, 2006
- 6,200
- 4,984
Habari za wakati huu mabibi na mabwana, waungwana wote kwa ujumla, wale tulio kwenye mfungo, hongereni kwa hilo na natanguliza kheri na salamu za sikukuu ya Idi.
Itakumbukwa kuwa Jumanne ya tarehe 14/08/2012 ilianzishwa hoja na Roulette na kukaribishwa maswali kwa ajili ya kumuhoji Maxence Melo juu ya JamiiForums kwa ujumla na safari hii ya miaka 6 toka kuanzishwa kwake (Link to Roulette's thread). Ikumbukwe kuwa JamiiForums imekuwa maarufu nchini Tanzania, kitu ambacho kinaipa changamoto za kutosha. ni namna gani changamoto hizi zinashughulikiwa kutuhakikishia, sio tu ustawi; bali na uwepo wa JF katika siku za usoni.
Tulipokea maswali mengi. Mengine yakiwa marudio (Link to the latest interview of Maxence Melo). Tumejitahidi kuyaweka kwenye mtiririko muafaka kwa ajili ya kuokoa muda na kutengeneza picha halisi. Maxence Melo yupo hapa kuyajibu. Kamata kahawa yako, ama kinywaji chako baridi and stay tuned.
Itakumbukwa kuwa Jumanne ya tarehe 14/08/2012 ilianzishwa hoja na Roulette na kukaribishwa maswali kwa ajili ya kumuhoji Maxence Melo juu ya JamiiForums kwa ujumla na safari hii ya miaka 6 toka kuanzishwa kwake (Link to Roulette's thread). Ikumbukwe kuwa JamiiForums imekuwa maarufu nchini Tanzania, kitu ambacho kinaipa changamoto za kutosha. ni namna gani changamoto hizi zinashughulikiwa kutuhakikishia, sio tu ustawi; bali na uwepo wa JF katika siku za usoni.
Tulipokea maswali mengi. Mengine yakiwa marudio (Link to the latest interview of Maxence Melo). Tumejitahidi kuyaweka kwenye mtiririko muafaka kwa ajili ya kuokoa muda na kutengeneza picha halisi. Maxence Melo yupo hapa kuyajibu. Kamata kahawa yako, ama kinywaji chako baridi and stay tuned.