Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,850
- 34,301
Last edited by a moderator:
i like this guy
i like this guy
kama jamaa angalitenda aliyoyasema, basi tusingalifika hapa tulipo, yaani mikataba feki, uwizi na ufisadi tusingalikua nao kabisa hapa tz, lakini leo tazama!!!!!! Tatizo la viongozi wanasema sana lakini wanatenda kidogo au hakuna kabisa, tutafika?????:wave: